Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

All the way from Ngara. Ngara is not the CBD. Do you know what a CBD IS!?? What you are posting is all the way from Pangani and Ngara.
View attachment 955618[/QUOTE]
1A8C4510-9CF2-46D9-AD67-A638D0AEB131.jpeg
0FE249E2-23E8-4AFD-857F-48CF36200415.jpeg
AF2E7C3E-5D39-40EE-AE67-E54FBA1445C2.jpeg
 
Dunia kweli imebadilika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Wataelewa....
 
Edward Wanjala msikie dada yako anasema kama atakosa kazi basi ni kuiba tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mikenya bwana yaani akili zao zinawaza kyajiliwa tu na hawafikirii kujiajiri
 
Nimetazama hii picha mpaka nimetoa machozi. Wakenya wanapata shida sana. Ningekuwa na uwezo ningewahamisha wote na kuwaleta Tanzania, nchi iliyoteuliwa na Mwenyezi Mungu.
Ameen[emoji103][emoji103][emoji103]
 
Nimetazama hii picha mpaka nimetoa machozi. Wakenya wanapata shida sana. Ningekuwa na uwezo ningewahamisha wote na kuwaleta Tanzania, nchi iliyoteuliwa na Mwenyezi Mungu.
hahahaha [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
 
Kuna wakenya wameanza kunichukia ghafla....jamani msinichukie haya ni mambo yakawaida tu nawapenda sana...

Lakini msiache kupost thika high way na mombasa road bila kusahau traffic Jamz na peoples jamz za hapo nairobi[emoji1][emoji1][emoji1]


DAR CITY[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] fireView attachment 955700View attachment 955701View attachment 955702View attachment 955703View attachment 955704View attachment 955706
Uchafu huo hapo juu peleka huko lagos
Hapa chini ndipo
1543929499506.png

1543929605474.png
1543929499506.png
1543929605474.png
 
Hata timamu hugeuka kuwa kichaa taratibu[emoji1][emoji1][emoji1]
Hata timamu hugeuka kuwa kichaa taratibu[emoji1][emoji1][emoji1]
Wacha nikuonyeshe kwa vitendo kichaa ni nani
Dar is Slum Streets...ona uchafu kila mahali na mpangilio kiholela holela
1543931253289.png

Hapana letea sisi Uchafu
1543931285042.png

Nairoberry na hatubahatishi halafu angalia namba plates usije ukasema tumechukua picha za maerkani na kuweka hapa
1543931433834.png

1543931511601.png

Usistuke Mkuu hio sio runway ya ndege kule Marekani ama Japan ni barabara tunazozitumia kila siku bila kuringa hata kamuulize Jiwe atakwambia ni kweli....UKIWEKA KAMA HII hapo kijiji chenu cha kuvulia samaki tafadhali untag.😉
 
Back
Top Bottom