Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,954
- 27,948










kweli kenya no strong security.....









Kwanza Ichoboy huwa nadoubt kama ako na akili.@TeargassUshawahi soma comments za msee hapa Jf hadi ukaanza kujiuliza kama Mathare iko na Headquarters TZ??
kwa akili hii ndo mana majengo yenu yanaanguka! chuo mnaenda kusomea ujinga tu
Old archaic LDC excuse....mwarabu amemiliki ka economy yenu kadogo tusongee mbali puga.....Alijua ni Mali ya Wahindi kama ilivyo Mall za Nairob
😂😂😂Hizo water falls zinawekwa hadi kwenye nyumba binafsi Dar es salaam🤣🤣🤣Did you know that KICC in Nairobi Kenya is the only tower in Sabsaharan Africa with a man made water!? Now you know.
View attachment 950565
Jeshi lenu si liko imara...kujeni mumalize al_shabab kw masaa manne alafu mkafyeke boko haram..itakuwa ni busara sana kuona jeshi bora afrika kw vigezo vya historia..Mbona ninyi hamkuja kusini mwa Africa wakati tukipigana na Makaburu?. Acha tujenge uchumi wetu, sasa hivi ni zamu yenu na ninyi kupigana. Ninyi mlienda Somalia kulinda mipaka yenu, sisi tuje kufanya nini?
Ye hupinga kila kitu inajihusisha na Kenya.Kwanza Ichoboy huwa nadoubt kama ako na akili.




Hebu leta wenu wakiwa kwenye mstarikweli kenya no strong security.....
Hivi hiyo security haikufunzwa ukakamavu nakufikia hatua hadi yakupindapinda kwenye line za ukakamavu .....na wengine viatu vikiwa vimezidi line yaani hizo line zipo kimakosa kabisa ningekuwa raisi wakenya ningeshoot risasi kwa kila lain ili waliionyooka wasalimike ila kwa hapo nahisi wangekufa woote
ZIGZAG ARMY LINE IN KENYA
View attachment 950603







wasee wa tz kusema ukweli hakunanga kitu wanajua.....graffiti ikiwalemea wanasingizio pipa mzimaJeshi lenu si liko imara...kujeni mumalize al_shabab kw masaa manne alafu mkafyeke boko haram..itakuwa ni busara sana kuona jeshi bora afrika kw vigezo vya historia..