mambo ya Mombasa yawache Mombasani. au ulitaka uende wewe kwa 001?Hata ungekua wewe lazma roho ingekuuma,Kiba kabeba mkenya,Mond anakula mkenya,Benpizo nae kabeba mkenya,ila Dimpoz tu ndo anatuangusha sisi wanaume wa bongo yeye kaenda kwa gavanna,sijui wanamfanyaje huko mombasa!!
siku ukiamua kuja Kenya kuiwakilisha tanzania,,, ni-pm.Mumpe bendera ya taifa pia tumuombee aiwakilishe nchi vema na arudi na ushindi wa mapacha.
hawataki kufanya kazi, wakiona ganda, tayari wanataka kuteleza. bure kabisa!Ukisoma comment za wanaume wa kibongo zinatia aibu..
Hapo Ni library au?
I'm on my wayNjoo tusome
Aibu sanaaa sijui kizazi kijacho kitakuajehawataki kufanya kazi, wakiona ganda, tayari wanataka kuteleza. bure kabisa!
Sio jamaa ni kadada flani kenye sura ya baba yakehilo jamaa ni jizi sugu











mambo ya Mombasa yawache Mombasani. au ulitaka uende wewe kwa 001?




ana MU-AMBER RUTH si wapo MOMBASAacha fikra mbaya na potofu. kumsaidia mtu wakati yupo hali mahututi haimaanishi kua unalala naye so watch out kijana. chunga sana kauli zako. hujafa, hujaumbikaana MU-AMBER RUTH si wapo MOMBASA
Tuliwahi kusema NBO hakuna interchange wakasema oooh unajua imepanda ikashuka hehe