Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Daah kuna mpuuzi mmoja wakikenya hapa ,,,anajinadi mubashara kama yupo kwenye kampeni atii wana quality life of living...nimesikitika kisha nikamcheka sana












Hehehhe subiri tuwafundishe namna gani muepukane na njaa sasa👏👏🇹🇿🇹🇿👇👇Tanzania ni kubaya my Dear
78% of Tanzanians on the brink of starvation. 35% of Tanzanian kids are malnourished. - JamiiForums
Survey finds most Tanzanians go hungry, despite government denials | Reuters
Why Magufuli has banned relief food for ‘starving’ Tanzanians
UN World Food Programme
Tanzania: Everyone is scared - African Arguments


Usichukue picha za nchi nyingine na kuwasingizia midle income yenye high hdi na gdp kubwa.



Umesema ukweli. Si kila MTU mjinga ndio maana sisi ambao si wajinga tunawashangaa wajinga wanaojiita werevu .

'Mwelevu' kutoka kwa mswahili. This is what I call LDCity/LDCic mind
Basi njoo nikuajiri urudi bongo as a millionaire
Kadoda alikua anakuenjoy na kweli mukaingia kingi kwan we kadoda humjui😂😂😂😂When Kadoda claimed these lines are in Tz.View attachment 946570View attachment 946571View attachment 946572View attachment 946573
Hakuna cha kuplayisha msee hapo, he insisted hadi akaleta sijui vida fulani hapo. I didn't bother to view cause nilijua the lines ni za Kenya.Kadoda alikua anakuenjoy na kweli mukaingia kingi kwan we kadoda humjui![]()
👇👇👇👇👇👇👏👏👏👏😂😂😂Tanzania ni kubaya my Dear
78% of Tanzanians on the brink of starvation. 35% of Tanzanian kids are malnourished. - JamiiForums
Survey finds most Tanzanians go hungry, despite government denials | Reuters
Why Magufuli has banned relief food for ‘starving’ Tanzanians
UN World Food Programme
Tanzania: Everyone is scared - African Arguments
Wapi penye inaonyesha ni 32 floors?


