Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa botswana au Namibia wameishinda tz kwa lipi??..we unajidhalilisha tu hapa huna expooo
...
Botswana and Namibia Ni S.A. ndogo zile, wanamaisha mazuri kuliko east Africa, hata salary zao ziko juu mfano tu daktari Namibia analipwa $4000 kwa mwezi...
 
c6c53390305c7edf3359cda297af4d77.jpeg
 
Botswana and Namibia Ni S.A. ndogo zile, wanamaisha mazuri kuliko east Africa, hata salary zao ziko juu mfano tu daktari Namibia analipwa $4000 kwa mwezi...
nchi yoyote ile yenye population ndogo ina uwezekano mkubwa kwa wananchi wake kuwa na maisha mazuri,tazama cape Verde,ina uchumi mdogo lakini wananchi wake wanamaisha mazuri kuzidi nchi yoyote afrika mashariki na kati,lakini huwezi kusema wamewazidi nchi ambayo ina population zaidi ya mil.50,hii population si rahisi kui-control,hebu imagine maendeleo yaliyofanywa Tanzania nzima,Tanzania ingekuwa ni ndogo Kama Botswana ingekuwaje??,tunapoangalia maendeleo tunaangalia na demand pia..Gaborone ni nzuri sana,hasa usafi,lakini haiwezi kumatch na dar..Botswana nje ya Gabor ni hatari tupu..
 
south africa ,what??...bora ukamsaidie mama yako kupika!
tulia uambiwe wacha pupa kama haujui uliza ujibiwe hauwezi jua kla kitu ww c mungu botswana iko na universal healthcare system kwa kla citizen southafrica haina hyo ukiangalia per capita income botswana inangara na southafrica and the best way to measure a country development is by quality of life of citizens ebu angalia world hdi rankings uniambie penye botswana na south africa ziko
 
nchi yoyote ile yenye population ndogo ina uwezekano mkubwa kwa wananchi wake kuwa na maisha mazuri,tazama cape Verde,ina uchumi mdogo lakini wananchi wake wanamaisha mazuri kuzidi nchi yoyote afrika mashariki na kati,lakini huwezi kusema wamewazidi nchi ambayo ina population zaidi ya mil.50,hii population si rahisi kui-control,hebu imagine maendeleo yaliyofanywa Tanzania nzima,Tanzania ingekuwa ni ndogo Kama Botswana ingekuwaje??,tunapoangalia maendeleo tunaangalia na demand pia..Gaborone ni nzuri sana,hasa usafi,lakini haiwezi kumatch na dar..Botswana nje ya Gabor ni hatari tupu..
Kubali wako mbele,kama Dar unasema kumeendelea sasa inakuaje %kubwa ya wanaoishi jijini wanamaisha duni?
Zaidi hapa nilikua naangalia maendeleo yaliogusa wengi sio ukubwa wa jiji au wingi wa watu lahasha!!
 
Yeye in critic wa serikali na hata pia david ndii angekuwa mtz magufuli angekuwa tayari ashamuuwa ama unasemaje ichoboy
Ndio lazima aseme ukweli na serekali ya kenya ukweli hamupendi aliwaambia SGR haitaweza kulipa deni la mchina mukamuona mjinga leo siunaona matokea yake😂😂😂
 
Ichoboy ww huniangusha sana hzo vtu hutokea maramoja tu wakati kunarepair and maintenance mm hapa nilipo busia border stima ilipotea October tarehe kumi na nane wakati transformer iliungua na ikawa replaced na stima haijablink hata tangu hyo cku kwani daresalaam huwa hakuna black out tuambiane ukweli ichoboy

Usitumie neno 24 hrs wakat bado umeme kwenu ni tatizo kubwa tu😂😂😂
 
Ahahaha ndio maana dr ndii aliwaambia kenya munakopa kwa ajili ya consumption and not developments leo hii maskini ha Mungu debt to GDP ratio 63%
Consumption gani ichoboy mm huwa nadhani unajua Kenya vizuri Kenya ilikopa ijenge sgr c sgr inajengwa ama ww hauoni kwani ulisikia wapi Kenya imekopa kulipa wabunge
 
Kubali wako mbele,kama Dar unasema kumeendelea sasa inakuaje %kubwa ya wanaoishi jijini wanamaisha duni?
Zaidi hapa nilikua naangalia maendeleo yaliogusa wengi sio ukubwa wa jiji au wingi wa watu lahasha!!
yaani jombaa kwa maisha ya mtu mmoja mmoja botswana haijaishinda tz pekee,kwa maisha ya mtu mmoja mmoja hakuna nchi yoyote afrika mashariki inayoweza kuifikia botswana...nashangaa kwa nini tz tu..
sasa unawezaje kuangilia maendeleo yaliyogusa wengi halafu ukakimbia population,unapotaka kuangalia maendeleo ya watu sehemu fulani ni lazima uangalie population,ni must huwezi kukwepa!
 
Ndio lazima aseme ukweli na serekali ya kenya ukweli hamupendi aliwaambia SGR haitaweza kulipa deni la mchina mukamuona mjinga leo siunaona matokea yake😂😂😂
Wapi ichoboy hii sgr ndio juzi ilifikisha wateja million mbili nadhani uliona hyo Kenya haijashindwa na deni deni tutalipa nilikuambia wakati utasikia China inataka kuchukua bandari ya Mombasa ama jkia uje unicheke SAA hii bdo Uhuru amechukua loan ingine ajenge expressway ya Nairobi to Mombasa so madeni tutalipa
 
tulia uambiwe wacha pupa kama haujui uliza ujibiwe hauwezi jua kla kitu ww c mungu botswana iko na universal healthcare system kwa kla citizen southafrica haina hyo ukiangalia per capita income botswana inangara na southafrica and the best way to measure a country development is by quality of life of citizens ebu angalia world hdi rankings uniambie penye botswana na south africa ziko
tatizo lako jombaaa huwezi kufikiri kwa kina hivyo vigezo ulivyovitaja haviwezi tosha kuamua kwamba Botswana imeizidi south kwa maendeleo,only advantage ambayo Botswana inayo ni popukation ndogo,huwezi kufananisha na nchi yenye population ya 40 + million,realy 2mil pop kwa 40..
hata hivyo nakushangaa kuinyoshea kidole tz,kwa vigezo ambavyo umetaja hakuna nchi yoyote afrika mashariki,magharibi inayoweza kuifikia botswana..huo ni ujuha kufananisha nchi yenye pop 2mil kwa 50+ mil pop..
 
Wapi ichoboy hii sgr ndio juzi ilifikisha wateja million mbili nadhani uliona hyo Kenya haijashindwa na deni deni tutalipa nilikuambia wakati utasikia China inataka kuchukua bandari ya Mombasa ama jkia uje unicheke SAA hii bdo Uhuru amechukua loan ingine ajenge expressway ya Nairobi to Mombasa so madeni tutalipa
Hata mungesafirisha watu milion 10 lakini madamu hii kitu ipo basi mutasota sana😂😂😂😂😂😂👏👏👏👇👇👇👇

 
Garisa City kenya

Tazama huyu polisi kwenye picha alivaa yeboyebo wakati wa mapambano na ali shababi, like seriously??
Namna hii kwanini alshabaab wasiendelee kuwatia vidole
IMG_1293.JPG
IMG_1289.JPG
IMG_1291.JPG
 
yaani jombaa kwa maisha ya mtu mmoja mmoja botswana haijaishinda tz pekee,kwa maisha ya mtu mmoja mmoja hakuna nchi yoyote afrika mashariki inayoweza kuifikia botswana...nashangaa kwa nini tz tu..
sasa unawezaje kuangilia maendeleo yaliyogusa wengi halafu ukakimbia population,unapotaka kuangalia maendeleo ya watu sehemu fulani ni lazima uangalie population,ni must huwezi kukwepa!
Ndio maana uchache wao umekua na unafauu sana,siunajua apa Tz mbali na towns vijijin ni shida tu
 
Back
Top Bottom