Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

housemaid,
wasanii wa bongo hawaji kenya kwa matakwa yao, wanaletwa na promoters wa kenya.

njaa na tamaa ya mafanikio ya promoters wa kenya ndio inayosababisha wavuke boda waje tz ku-make business deals na wasanii wa tanzania.

wasanii wa tz ndio wanaoleta profit kubwa kwa event organizers wa kenya kwasababu music event ambayo mtz ana perform inakusanya wahudhuriaji wengi.

you don't need a KCPE certificate to fathom that.
 
when it comes to music competition, bongofleva is not only running east africa but it also represents east africa to the world.

kwenye app ya boom play katika segment ya nyimbo 100 bora zinazosikilizwa sana,nafasi ya 43 na 44 inashikiliwa na watanzania.

ni nyimbo pekee kutoka east africa kuwemo kwenye nafasi hiyo. kuanzia namba moja mpaka hamsini hakuna nyimbo ya mkenya, mganda wala mrwanda isipokuwa ni watanzania tu.

najua kuna baadhi ya wakenya ni washamba sana, they might not know the strengths of boom play music app.

FYI this app is one of the biggest music app in google play store. it has 10 million plus downloads.so figure that out before you utter nonsense.

View attachment 940342View attachment 940343View attachment 940344
Kwa nyimbo na umbea nimewakubali kabisa,
 
housemaid,
wasanii wa bongo hawaji kenya kwa matakwa yao, wanaletwa na promoters wa kenya.

njaa na tamaa ya mafanikio ya promoters wa kenya ndio inayosababisha wavuke boda waje tz ku-make business deals na wasanii wa tanzania.

wasanii wa tz ndio wanaoleta profit kubwa kwa event organizers wa kenya kwasababu music event ambayo mtz ana perform inakusanya wahudhuriaji wengi.

you don't need a KCPE certificate to fathom that.
njaa na tamaa ya mafanikio ya promoters wa kenya ndio inayosababisha wavuke boda waje tz ku-make business deals na wasanii wa tanzania. Swali mboga sana, je kati ya promoter na msanii ni nani anayetengeneza hela nyingi?
 
N

Nyinyi ni watu wa kukurupuka mkijaribu kukimbizana na Kunyaland...Tutawakunyia milele Mkuu na ukisikia imekuwasha kojoa ulale.
Ahahaha tatizo lenu nyinyi mkifeli munaombea na wengine wafeli kutoka na ufinyu wa akili zenu😂😂😂😂 yani mchina kawanyea kichwani so unajidanganya kua na sisi ni kama nyie😀😀😀😀 naona tanzania safari imachezea makende yenu in out😁😁
 
Ahahaha tatizo lenu nyinyi mkifeli munaombea na wengine wafeli kutoka na ufinyu wa akili zenu😂😂😂😂 yani mchina kawanyea kichwani so unajidanganya kua na sisi ni kama nyie😀😀😀😀 naona tanzania safari imachezea makende yenu in out😁😁
Kati ya gdp $88 billion na gdp 52 $billion ni nani amefeli?
 
housemaid,
Aslay hakwenda lodwar kwa kupenda kwake.

he attended there because it was a strictly business tour which was organised and supervised by kenyan event organisers/promoters by the name of "marble club and extreme vip grand relauch".these are the guys who payed aslay a lot of kenyan money for this show.

alipata mapokezi makubwa sana ya kihistoria.

hapa ni facts tu, wewe endelea kupiga porojo.
IMG_20181120_132159.jpeg
Screenshot_2018-11-20-13-22-47-346_com.twitter.android.jpeg
IMG_20181120_132233.jpeg
IMG_20181120_132227.jpeg
IMG_20181120_132231.jpeg
 
njaa na tamaa ya mafanikio ya promoters wa kenya ndio inayosababisha wavuke boda waje tz ku-make business deals na wasanii wa tanzania. Swali mboga sana, je kati ya promoter na msanii ni nani anayetengeneza hela nyingi?
sikiliza hii ngoma ya legendary profesa jay.
jibu la swali lako lipo humu kwenye hii ngoma.
 
housemaid,
Aslay hakwenda lodwar kwa kupenda kwake.

he attended there because it was a strictly business tour which was organised and supervised by kenyan event organisers/promoters by the name of "marble club and extreme vip grand relauch".these are the guys who payed aslay a lot of kenyan money for this show.

alipata mapokezi makubwa sana ya kihistoria.

hapa ni facts tu, wewe endelea kupiga porojo.
View attachment 940549View attachment 940552View attachment 940553View attachment 940554View attachment 940556
Turkana county the place to be. Najua hata Dar hadi Ufipa hajawahi fanya show kubwa hivo, hamna pesa huko. Turkanas mnaowatukana humu literally fed your musicians.
 
Turkana county the place to be. Najua hata Dar hadi Ufipa hajawahi fanya show kubwa hivo, hamna pesa huko. Turkanas mnaowatukana humu literally fed your musicians.
ofcos haiondoi ukweli kwamba turkana ni sehemu yenye njaa.
 
Back
Top Bottom