Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii picha imefanya nicheke Sana. HII NDIO kijitonyama!???? KWELI NA MOROCCO SQUARE i pale naiona. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na vinjia vya matope!!!? Enhe. Kumbe msiniambie lolote kuhusu kijitonyama. Hapo ni Roysambu!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 936252
Kijitonyama hii hapa itakuliza mpaka machozi yakaukeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
4CDC9E83-2831-4097-AA0E-42739382607F.jpeg
D7FF08BB-CEF5-4794-8FB2-70182C759C51.jpeg
D9C703C8-0CAB-4336-B608-85C731DCB22D.jpeg
7FBBA46A-D282-459F-AC2B-8EB9E1D199E0.jpeg
CB56AF6B-BDB3-4628-A671-EF66A5CAD3FC.jpeg
 
Kwani tuliwaambia muwasaidie, alafu mbona S.A iko more developed than you. Excuses za kijinga hatutaki hapa.

Kuwasaidia ilikua ni jukumu letu sote lakini kwakua nyie mlitawaliwa na wabinafsi ndio maana hamkushiriki lakini chakuskitisha Mungu sio athuman miaka 40 ya maendeleo muliokua nayo hakuna mulichokifanya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ leo hii miaka 10 ya maendeleo tanzania inawanyima usingizini na bahat mbaya kwenu mumekutana na fundi anamiaka mitatu tu kwenye utawala bado 7 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Hii picha imefanya nicheke Sana. HII NDIO kijitonyama!???? KWELI NA MOROCCO SQUARE i pale naiona. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na vinjia vya matope!!!? Enhe. Kumbe msiniambie lolote kuhusu kijitonyama. Hapo ni Roysambu!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 936252

Na ukumbuke hii ni kijitonyama πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡
Usije ukasema riyadh
ADE577D4-4FC3-4193-880C-8DE939DF1CC1.jpeg
 
Munasonga mbele wapi mulikua munanafas ya zaidi ya miaka 40 ya maendeleo na hamujatumia chochote wakat tanzania ilipoteza zaidi ya miaka 25 kuzipa nchi za africa uhuru ikiwemo south africa 1994 nafas muliipata hamukutumia leo hii munashtuka kumekucha munatafuta shuka wapi na wapi budaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ati Tanzania ilipoteza miaka 25 ikipigania Uhuru wa nchi nyingine. Enyewe zuzu atazidi kuwa zuzu
 
Kuwasaidia ilikua ni jukumu letu sote lakini kwakua nyie mlitawaliwa na wabinafsi ndio maana hamkushiriki lakini chakuskitisha Mungu sio athuman miaka 40 ya maendeleo muliokua nayo hakuna mulichokifanya
So nyinyi nyote mlijibeba mkaenda S.A kuwapigania , saa zingine pia fikiria. Usiwe unareason tu kama kondoo kila saa.
 
So nyinyi nyote mlijibeba mkaenda S.A kuwapigania , saa zingine pia fikiria. Usiwe unareason tu kama kondoo kila saa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ karibu nifaint nikicheka. Walibebwa wore na ATCL kupelekwa SA kupigania uhuru
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚My ribs!!!πŸ€”Sio Riyadh. Ni Riat in Kisumu!!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
Ekhekhekehke wanjala serious safari hii mumelia sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yani hakuna sehemu amabayo hamujabanwa
 
Back
Top Bottom