Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

c niliwashow mbna mnacompare nairobi na darisalaam na nairobi imeweka gdp ya tz kwa mfuko so wanarepeat picha hapa ati ulala mara upanga mara posta na zote ni same wadifferentiate kama upperhill na westlands na cbd tz hakuna ktu kujichocha tu
 
The ISIU
When it comes to learning institutions Kenya IPO juu.
16260054721_7d736f2bf1_b.jpeg
 
Wana vijicorse vya ajabu ajabu tu utakuta mtu ana deploma ya kuzibua vyoo au kupaka watu kucha rangi....yaani ni vituko kwa hawa wakenya
Thats why mnatokea wasomi mpaka wa kariba yako,wewe ni msomi mzamivu wa maua??au takwimu??
Unaweza kuwa na vyuo vingi,ila vyuo bora ikawa ni tatizo.
 
Back
Top Bottom