Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

c niliwashow mbna mnacompare nairobi na darisalaam na nairobi imeweka gdp ya tz kwa mfuko so wanarepeat picha hapa ati ulala mara upanga mara posta na zote ni same wadifferentiate kama upperhill na westlands na cbd tz hakuna ktu kujichocha tu
 
The ISIU
When it comes to learning institutions Kenya IPO juu.
16260054721_7d736f2bf1_b.jpeg
 
Naoba hiyo picha imekuumiza vinoma [emoji23][emoji23][emoji23], Asante for being honest[emoji122][emoji122][emoji122]
Upanga imekukamua sasa unataka CBD yani umeruka mkojo sasa umekanyaga mavi karibu sana👏👏👏👏👏
 
Upanga imekukamua sasa unataka CBD yani umeruka mkojo sasa umekanyaga mavi karibu sana[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Westlandlands itoa both upanga and Kijitonyama naona sasa ukitoa usaidizi from Posta [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wana vijicorse vya ajabu ajabu tu utakuta mtu ana deploma ya kuzibua vyoo au kupaka watu kucha rangi....yaani ni vituko kwa hawa wakenya[emoji1][emoji1][emoji1]
Thats why mnatokea wasomi mpaka wa kariba yako,wewe ni msomi mzamivu wa maua[emoji16][emoji16][emoji16]??au takwimu??
Unaweza kuwa na vyuo vingi,ila vyuo bora ikawa ni tatizo.
 
Back
Top Bottom