Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haha buda yani ulitolewa nguo yote...mombasa ukaiita oman

Mwenye alianza game kashakimbia 😂😂😂😂😂 na sijatoka nje ya mbezi beach zinui ningefika mikocheni kawe upanda kariakoo sijui kama pamengekalika hapa😁😁😁
 
Wasee mimi nimedoz...Wanjala keep up the good work..no one can convince me right now that dar is better than mombasa...

Lala tu lakini dawa ndio hio na huo ndio ukweli kushindana na dar kwa namna yoyote ni sawa na kukimbiza kivuli 😂😂😂😂😂😂👏👏👏
 
Mwenye alianza game kashakimbia na sijatoka nje ya mbezi beach zinui ningefika mikocheni kawe upanda kariakoo sijui kama pamengekalika hapa
Ulishashindwa kitambo game imeisha uko kwa kiwanja umachanganyikiwa pekeyako
 
So kama zimepaki maskini hana pesa ya kuzitembeza na kama zimetelekezwa hapo utaniambia nini😂😂😂👇👇👇au wewe hujui kama kijijini gari za zamani hupatikana😁😁😁
View attachment 934584
at least you know limuru is freaking cold
Untitled.jpg




1542233270875.png
 
Ulishashindwa kitambo game imeisha uko kwa kiwanja umachanganyikiwa pekeyako
Ahahaha dar ni mwisho mbezi beach imemchakaza wanjala hana hata hamu 😂😂😂😂👏👏👏👏 mwengine kaja kusaisia akaona apost random aue ushahidi maana aliona mwenzie kashakila kisu bahat nzuri wakenya ni watu naowajua sana 😂😂😂👏👏👏
 
Back
Top Bottom