Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa jinsi wakenya walivyokuwa wapuuzi wakuwanyenyekea wazungu yaani mtu mmoja kisa mzungu tizana jinsi mtu alivyochukua nafasi kubwa ya ardhi halafu ukija kwa wakenya wenyewe wapo hoi njaa tupu
Nyumba za white settlers hzo
 
Yaani hawataki kuamini....kenya nzima imekuja hapa kucompete na king of Africa DAr es Salaam City

Leo nimecheka sana county zote wanazipambanisha kwa Dar ,,wacha tuendelee kuwaenjoy
Dar inacompete na mombasa usijaribu kuchange story hapa..
 
maybe in 1980

limuru.jpg



2018


1542232535373.png
 
Kwani amekutumia hizo???... buda naona kuna wire imekatika kwa akili...lol...u making my night nigah

Maana analeta nyumba moja moja za kale wanazokaa white setllers wenye mashamba yao😂😂😂😂😂 lakini ya mkenya haleti
 
Maana analeta nyumba moja moja za kale wanazokaa white setllers wenye mashamba yao lakini ya mkenya haleti
Wewe tu afadhali ukufe..unaiibisha magufuli na kaka zako hapa..yani akili hauna kabisa heri ata ungepewa ya nyani
 
Kuna yule mmoja ni kichaa anakuambia eti utazame dressing code hiyo picha ni 60's nikacheka ,,,,,

Limulu kuna mambo
Hehehe what the post ni buildings za white settlers wenye mashamba lakini za wakenya watu weusi hawez onesha😂😂😂😂
 
Wewe tu afadhali ukufe..unaiibisha magufuli na kaka zako hapa..yani akili hauna kabisa heri ata ungepewa ya nyani

Unaniombe nife 😂😂😂 unanichukia sana budaaa😁😁😁 magu ndio kiboko yenu miaka mitatu tu amewanyoosha hamuna hamu nae
 
Kidogo muone jinsi watu wanavyoishi hapa ni Dar es salaam ....city king nasiyo mnang'ang'ana na hayo local life yenu mnayoishi huko nairobi,mombasa na kule mashambani kwa wazungu limuli

 
Back
Top Bottom