Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DAR ES SALAAM
1541790872882.png
 
Kuna jirani zetu siwapendi Basi tu!
Huwa wanajihisi ni wazungu kumbe ni weusi tiii
Tena wamejaa ukabila
jirani yupi huyo??? haha...
anyway, mpende jirani yako, jinsi unavyojipenda wewe mwenyewe
bila hivyo utapata taabu sana
 
Natoa ushauri huu nikiwa na uzalendo wa dhati kwa nchi yangu


Hawa wanyama katika mbuga ya serengeti hivuka kwenda kenya na kipindi hawapo Taifa hupata hasara

Hii hasara ni sawa na ile ya watorosha madini na makinikia

Sasa ushauri wangu,jenga ukuta katika mapito ya wanyama ili wasiweze kwenda kenya tena

Tanzania nibtaifa lenye nguvu ya kufyekelea mbali nchi yeyote hata kenya wakijifanya wanabisha bisha

Hii itaongeza watalii hivyo tutatimiza ilani yetu ya ccm

KIDUMU CHAM CHA MAPINDUZI!!!
duh!!!
we kweli ni kichaa.
 
Steadmark gardens Nairobi
19055853_772248816267737_8029267327165353620_o.jpeg
1447924353_Stedmak-Aerial-15.jpeg
1447924345_Stedmak-Aerial-12.jpeg
1447924348_Stedmak-Aerial-2.jpeg
1447924336_Stedmak-Aerial-8.jpeg
1447924352_Stedmak-Aerial-11.jpeg
1447924353_Stedmak-Aerial-10.jpeg
DSC_0503-min.jpeg
 

Attachments

  • 1447924336_Stedmak-Aerial-8.jpeg
    1447924336_Stedmak-Aerial-8.jpeg
    100.4 KB · Views: 19
sema street of mombasa and not streets hzo picha zote street ni hio hio moja hahaha ila wakenya bana unatuonesha mtaa mmoja kwenye picha zote alaf unasema streets
imekuuma...mombasa all the way..mombasa ina streets nyingi sawia na za mwanza,arusha,dodoma,etc...hapo bado ni island...mainland hujagusa...
Kiufupi dar imeshinda mombasa kw majengo marefu tu..unabisha?
 
Back
Top Bottom