Nunua Chibu Perfume toka TZ. Ili vikwapa vyako visiwevinatoa uvundo
Kwikwikwikwi. Umetoka kazini au ndio unaingia sasa. Hivi wewe watchman huwa unaingia usiku au mchana!!?
jaman hebu tuwamalize maana tokea majuzi surbub tu wamekazania wanazani hazipo huku.....hebu tuwape maana wanaushamba mwingi ila tuanze nao moja moja maana washajidanganyaKwikwikwikwi. Je unaweza kunipatia list ya streets ambazo ni mbovu kabisa huko Nairobi. List only 20.
Mimi nimewapa wanajifanya hawaoni. Wasome kuanzia kinondonijaman hebu tuwamalize maana tokea majuzi surbub tu wamekazania wanazani hazipo huku.....hebu tuwape maana wanaushamba mwingi ila tuanze nao moja moja maana washajidanganya
Labda watake sababu ndo hatuna
Definition of uglyDar es salaam.
View attachment 499618
Did you see our suburbs anyway.Definition of ugly
colloh mzee wa surbub sisi haturudii rudii mavitu huko tushapita ....imebaki story sasa twaenda kikubwa mkirudia mavitu sisi tunawakaushia kimyaa ili mjione washindiAmbia wenzako waache matusi kwanza

Dar es Salaam Port
Dar es Salaam Port