Send me photosDid you see our suburbs anyway.
Yea, true, it is a high rise slumDefinition of ugly
Sasa kuniita watchman ndio kukua na point????Acha kutuma picha za ovyo. Huo sio ustaarabu. Jitetee kwa hoja. Huo ni upumbavu na kukosa point.
Dar es Salaam Port
Dar es Salaam has a problem with slums. According to a United Nations estimate, 70 percent of the city's population lives in informal settlements. [10] The poorer residents crowd into downtown areas or large slums, many without running water or basic services. [10]
[11] Dar es Salaam has major infrastructural problems, including an outdated transport system and occasional power rationing.
lol @ the link provided
Kwani kuitwa shoga utakua shoga..kwani hiyo picha nikituma ni wewe.Kwani kuitwa watchman ndio utakuwa watchman!!? Mbona mawazo yako ya kitoto kabisa. Unatakiwa ukue kwenye akili zako. Acha mawazo ya kitoto.
Hahahaha!Athi River, the jam was so big, from Kite to Nairobi!! Nairobi now needs really large roads just like those in places like Quangzou
View attachment 499646 View attachment 499647
Eastliegh Roads
View attachment 499648
Picha unazoweka siyo nzuri. Ni watu wenyemalezi mabovu na wasio wastaarabu wanaweza kufanya hivyo. Wewe ukishindwa kwenye hoja unaanza kuweka picha zisizo na maadili. Jifunze kuwa mstaarabu. Hata kama kitu hukipendi jifunze kuweka vitu moyoni.Kwani kuitwa shoga utakua shoga..kwani hiyo picha nikituma ni wewe.
So in your common "common sense" they PUT UP the poles and wires so they can remove them during rehabilitation of the road?cz rehabilitation ya roads ndio inaenda sambamba na kuondoa izo nguzo kwenye barabara....ooh!!!! I almost forgot that common sense is not common to all people..hehee.waambie wenzako wasafishe cbd
hasa zile fly over zenu zaonekana hazina maana zetu tumeziweka sehemu muhimu ila nyie nahisi mnafanya flyover ni fashion showDar ikona bypass ngapi? Rafiki yangu alikua Dar jana ameniambia traffic jams leading to Dar ni mbaya sana kuliko Nairobi.
wakenya fly over siwanafanya fashion shoe wenzao tunaweka sehemu za maana main pointKwikwikwikwi. Tafuta ujue wapi kwenye Traffic jams kubwa kati ya Dar na Nairobi. Nairobi inaongoza.
We ukiishiwa ukaanza ushauri hapaPicha unazoweka siyo nzuri. Ni watu wenyemalezi mabovu na wasio wastaarabu wanaweza kufanya hivyo. Wewe ukishindwa kwenye hoja unaanza kuweka picha zisizo na maadili. Jifunze kuwa mstaarabu. Hata kama kitu hukipendi jifunze kuweka vitu moyoni.
yaan bado tu surburb chini hawajaziona maana wanajidanganya nnje ya cbd eti hakuna kitu wakenya bhana ha haaa
