Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

embu lipeni madeni ya watu kwanza daah halafu kitu kingine muwashukuru wazungu la sivyo
madeni tunalipa na tutaendelea kulipa. hatujawai kulemewa na madeni kiasi cha kusamehewa deni lolote.... kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
 
Look at this one. CNN poll ni ya Africa jingai? How do Tanzanians think surely. Najua mnataka tuwaweke hapo.
Hya hata tukiamua kuwaweka bila votes in real sense.
1.Nigeria
2.S.A
3. Kenya
4. Ethiopia.
* Bado Tanzania haiqualify kwa list
*Let me be fair enough tulinganishe non LDCs.
1. S.A
2. Kenya
3. Nigeria
*Bado hamuonekani kwa list. Alafu bado mnalalamika, sasa mlitaka msaidiwe aje? Wapige kura inchi gani iko na Wachawi wengi ndio muonekane ama?
Tz ni bure kabisa.
View attachment 919432

Huo ni ujinga tu kutoka kichwani kwako. Kwani nchi xinazopigiwa kura humo ni za wapi??. Si Africa. Kwanini unadhani Philippines humo haimo?. Kwasababu CNN wanajua waafrika tu ndio wajinga wataopiga kura. Yani economy prediction ina predictiwa na votes?!! Waafrika tuache ujinga. Mambo mengine ya aibu hayaitajiki ku postiwa humu.
 
😂😂😂👇👇👇
7D709B8A-8B9A-4263-809B-C59E864606E3.jpeg
 
wacha kujipa matumaini. kamwe tz haitawai kuifikia Kenya. whether you go to the moon and back... namba mtazidi kuisoma.
Kwa taarifa yako wabongo Hawana ligi. Kifupi jiwekeeni malengo yenu tu sie huku tuna yetu.wazee wa marathoni
 
Back
Top Bottom