Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

no but no thanks
sina time na vi-blog uchwara ambayo mtu yeyote anaweza kuandika maoni yake bila utafiti.
nilitaka tu unionyeshe ni wapi inasemekana kuwa Uhuru anamiliki robo ya Kenya lakini sasa naona tunazungushana tu.
kwa sababu vina ongea ukweli yani hakuna nchi inasheria mbovu ya ardhi africa mashariki kama kenya serious am telling you
 
kwa sababu vina ongea ukweli yani hakuna nchi inasheria mbovu ya ardhi africa mashariki kama kenya serious am telling you
kuna ripoti ya Ease Of Doing Business ya WB iliyotoka wiki hii. jaribu kuipitia basi na uchukue fursa iliyopo
 
DSM
DSM.jpg
DSM.jpg
 
kuna ripoti ya Ease Of Doing Business ya WB iliyotoka wiki hii. jaribu kuipitia basi na uchukue fursa iliyopo
ease of doing business u know y kwann tanzania haipo mwanzoni kwasababu tunataka investors wenye nia ya win win situation hatutaki investors wanakuja kuiba ndio maana tumewabana kwanzia kwenye mining mpaka tourism 👏👏👏👏👏😂😂 hawana hamu
 
ease of doing business u know y kwann tanzania haipo mwanzoni kwasababu tunataka investors wenye nia ya win win situation hatutaki investors wanakuja kuiba ndio maana tumewabana kwanzia kwenye mining mpaka tourism 👏👏👏👏👏😂😂 hawana hamu
krkrkrkrkr...... asiye na hili ana lile
 
Ichotope wowowo wanaume hawapigwi Kenya. Labda uje nikucharaze viboko tatu uzirai huu Uzi upumue kidogo at least😀
 
Ilikuwa jana usiku kwa CNN live. The economics nominated the most promising economies in Africa which were Kenya, South Africa,Nigeria and Ethiopia but hawakujua gani ndio the most promising kuongoza uchumi wa Afrika so ikabidi watu wapige kura Twitter and the results came as follows.
1. Nigeria 45%
2.Kenya 41%
3.SA 15%
4. Ethiopia. 8%
Well if you find it irrelevant I may understand you because you come from a nation poor in democracy.

Dah aixee uchumi unapimwa kwa votes. Only in Africa.
 
Back
Top Bottom