komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kijana wa mombasani huyo...Wewe umejulia wapi hiki kiswahili?
Kijana wa mombasani huyo...Wewe umejulia wapi hiki kiswahili?
Unaleta slum vs city centre..kwel mumechanganyikiwa
Umeludi kwa internet cafe 😂😂😂Toka umepoteza simu you cant buy a new phone😂😂 Usiku JF inakupita😂😂
Sasa siwezi mchunisha msichana wa Kitanzania mboga eti unione JF kwani unanimiss?Umeludi kwa internet cafe 😂😂😂Toka umepoteza simu you cant buy a new phone😂😂 Usiku JF inakupita😂😂
Duh!!kumbe ukwel wauma...hhhh!!....tembea kenya wewe
A mixture of flats and mabati house...majority ya hzo nyumba ni za mabati tu..hta vijijini ziko
Mi namshangaa..eti hyo ametuma ndio nyba zao za middle class...hawa wasee wako down sanaIi ni takataka gani sasa.Unajiskiaje na ii hapa?? Nairobi south.View attachment 918435
Sasa huu ni uchafu gani unaleta hapa kilaza wa bongo...kula ya mash poa mwanzowakenya mkipata bus loundge kama hii munitag plz
View attachment 918433View attachment 918434
View attachment 918436
yani imebeba abiria 20 dah ila hawa aliewalaani sijui alizikwa wapi😂😂😂😂Thread ya KQ kuwa na empty seats to JFK imepotelea wapi??😂😂😂
wapi utanipoteza wewe kenya ???? 😂😂😂😂😂Duh!!kumbe ukwel wauma...hhhh!!....tembea kenya wewe
Vs mombasa!!!...mko down sana
kila mtu na nyumba yake hapo sasa nashangaa jitu zima mpaka nywele za chini zimebadili rangi bado unaishi kwa ku rent kwenye estate ya investor au politician😂😂😂😂😂A mixture of flats and mabati house...majority ya hzo nyumba ni za mabati tu..hta vijijini ziko