Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1540834719590.png
 
mtanzania anamiliki ardhi kwa miaka 99 so kwa akili yako ww unaeza ishi miaka 99??? unajua sababu yake nini??? hii nchi haikupitia ubepari kama nyie ndio maana munauwana kisa ardhi kila siku leo nashangaa kuona rais anamiliki robo nzima ya kenya and uko hapa unaota wewe kupata ardhi na kujenga????
Watoto na wajukuu vp...hhh!!!kumbe nynyi vilaza sana...hta hamfikirii mbele..kazi kuwaza na kuhadithia story za zamani...
Ndio manake nchi yenu akili za wazawa zero kabisa
 
mtanzania anamiliki ardhi kwa miaka 99 so kwa akili yako ww unaeza ishi miaka 99??? unajua sababu yake nini??? hii nchi haikupitia ubepari kama nyie ndio maana munauwana kisa ardhi kila siku leo nashangaa kuona rais anamiliki robo nzima ya kenya and uko hapa unaota wewe kupata ardhi na kujenga????
Utashangaa sana basi...huku kenya inapaa
 
Hhhh!!asikudanganye hyo...wabongo wengi sana kenya...na hawajalalamika kuhusu wao kuwepo kenya..ila wakenya bongo wanapelekwa mbio kishenzi..kisa babu zenu waliwahadithia kuwa wakenya wana roho mbaya
mtanzania alieshindwa maisha tanzania hataweza maisha kokote trust me wakenya mnaitamani sana tanzania sema kwa sasa uncle magu kawakazia kamba kisawasawa bahat nzuri mm kenya nimefika sana na tabia zenu nazijua vzr sana
 
Ichoboy ni mchochezi. Hajawahi fika Kenya. Wakenya hawana roho mbaya. Nakuhakikishia hili. Don't let him control your thoughts. You will end up hating people for no reason
This year ntakuja Nairobi. Wapi kuna hoteli za bei rahisi na karibu na town iwe rahisi kuzunguka Nairobi? Plan ni kuja friday na kurudi Sunday
 
Hhhh!!asikudanganye hyo...wabongo wengi sana kenya...na hawajalalamika kuhusu wao kuwepo kenya..ila wakenya bongo wanapelekwa mbio kishenzi..kisa babu zenu waliwahadithia kuwa wakenya wana roho mbaya
Huku Bongo Kenyans wanaishi free zaidi nadhani kuliko Kenya penyewe.
 
Sitaki loss..nataka idadi ya hzo leased aircrafts...hhhhhh!!
Kuhusu loss najua..ila idadi ya hzo leased aircrafts yaonyesha waifahamu..hebu nijuze great thinker
ahahahahhaha mm nakwambia ndege zote ni leased kwasabbau hujawah na hutawah kuniletea link kua kq inamiliki ndege hata moja 😂😂😂😂💉💉💉💉👏👏👏👏
 
mtanzania alieshindwa maisha tanzania hataweza maisha kokote trust me wakenya mnaitamani sana tanzania sema kwa sasa uncle magu kawakazia kamba kisawasawa bahat nzuri mm kenya nimefika sana na tabia zenu nazijua vzr sana
Kakaza kisa anaiogopa sana kenya...
 
Back
Top Bottom