Watoto na wajukuu vp...hhh!!!kumbe nynyi vilaza sana...hta hamfikirii mbele..kazi kuwaza na kuhadithia story za zamani...mtanzania anamiliki ardhi kwa miaka 99 so kwa akili yako ww unaeza ishi miaka 99??? unajua sababu yake nini??? hii nchi haikupitia ubepari kama nyie ndio maana munauwana kisa ardhi kila siku leo nashangaa kuona rais anamiliki robo nzima ya kenya and uko hapa unaota wewe kupata ardhi na kujenga????![]()

wakenya wangapi wamejipanga kuumia na unga wa ugali wanyooshe mikono😂😂😂😂👏👏👏👏💉💉💉💉
Utashangaa sana basi...huku kenya inapaamtanzania anamiliki ardhi kwa miaka 99 so kwa akili yako ww unaeza ishi miaka 99??? unajua sababu yake nini??? hii nchi haikupitia ubepari kama nyie ndio maana munauwana kisa ardhi kila siku leo nashangaa kuona rais anamiliki robo nzima ya kenya and uko hapa unaota wewe kupata ardhi na kujenga????![]()

mtanzania alieshindwa maisha tanzania hataweza maisha kokote trust me wakenya mnaitamani sana tanzania sema kwa sasa uncle magu kawakazia kamba kisawasawa bahat nzuri mm kenya nimefika sana na tabia zenu nazijua vzr sanaHhhh!!asikudanganye hyo...wabongo wengi sana kenya...na hawajalalamika kuhusu wao kuwepo kenya..ila wakenya bongo wanapelekwa mbio kishenzi..kisa babu zenu waliwahadithia kuwa wakenya wana roho mbaya
inapaa utaota ndoto wewe yakumiliki ardhi mpaka yesu ashuke😂😂😂💉💉👇👇Utashangaa sana basi...huku kenya inapaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
This year ntakuja Nairobi. Wapi kuna hoteli za bei rahisi na karibu na town iwe rahisi kuzunguka Nairobi? Plan ni kuja friday na kurudi SundayIchoboy ni mchochezi. Hajawahi fika Kenya. Wakenya hawana roho mbaya. Nakuhakikishia hili. Don't let him control your thoughts. You will end up hating people for no reason
Haya mimi sijaleta ushahidi..tetea hoja yako ya zote..ukishindwa kilaza...sawa...ndege zote kwasababu hujaniletea ushahidi kua kq inamiliki ndege yoyote na kama ipo niletee leo nikukamue uharo![]()

Huku Bongo Kenyans wanaishi free zaidi nadhani kuliko Kenya penyewe.Hhhh!!asikudanganye hyo...wabongo wengi sana kenya...na hawajalalamika kuhusu wao kuwepo kenya..ila wakenya bongo wanapelekwa mbio kishenzi..kisa babu zenu waliwahadithia kuwa wakenya wana roho mbaya
Hhhhh!!!naona umehamisha magoli!!hhhh!!!ahahahahha MLDC
ahahahahhaha mm nakwambia ndege zote ni leased kwasabbau hujawah na hutawah kuniletea link kua kq inamiliki ndege hata moja 😂😂😂😂💉💉💉💉👏👏👏👏Sitaki loss..nataka idadi ya hzo leased aircrafts...hhhhhh!!
Kuhusu loss najua..ila idadi ya hzo leased aircrafts yaonyesha waifahamu..hebu nijuze great thinker![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
MLDC au sio 😂😂😂👏👏👏💉💉💉💉Hhhhh!!!naona umehamisha magoli!!hhhh!!!
kwa sasa kamanda kawakazia kamba kisawasawa amewarudisha wengi sana makwao😂😂😂😂Huku Bongo Kenyans wanaishi free zaidi nadhani kuliko Kenya penyewe.
Kakaza kisa anaiogopa sana kenya...mtanzania alieshindwa maisha tanzania hataweza maisha kokote trust me wakenya mnaitamani sana tanzania sema kwa sasa uncle magu kawakazia kamba kisawasawa bahat nzuri mm kenya nimefika sana na tabia zenu nazijua vzr sana
Hhhhh!!!utaumia sana..
Hapa Arusha wapo kibaokwa sasa kamanda kawakazia kamba kisawasawa amewarudisha wengi sana makwao![]()
Tafuta wafanyibishara uone...mtu ana vibali vyote ila anapelekwa mbio...Huku Bongo Kenyans wanaishi free zaidi nadhani kuliko Kenya penyewe.
Wapo kibao wanalima maporini hukoHapa Arusha wapo kibao
MLDC mutasubiri ajira mpaka mvi za kwenye ulimi ziwatoke😂😂😂😂👏👏👏👏💉💉💉💉💉💉💉 failed stateHhhhh!!!naona umehamisha magoli!!hhhh!!!