mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
Unafiki huu. Nawajua nje na ndani. Tafuta mahala pa kuelekeza ulaghai wako. Hatuhitaji kufarijiwa na wanafiki wanaotucheka kila uchao
Kwakweli wapeni tenda wachina tu,ingawa nao wana wenge kwenye ubora kama nyingi,but at least tutasema sababu ni wachina wamezoea kuunda vitu low quality.

