Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna maghorofa tz.nilikuwa naongea kuhusu nyumba za tope vijijini. Acha kujitoa ufahamu. Ukweli ndio huu, hamjui kinachoendelea kwenu kwa sababu mnatafuta mapungufu ya Kenya kuja kuyaanika humu.Hata MTU akijitia kitanzi kuna wale wamebobea katika hiyo kazi ya kuzileta hizo habari humu. Umewahi ona mkenya yeyote akifanya hivyo? Si mnaweza lialia hadi kwa mods apigwe ban?

Leta picha zikianguka hata hizo za tope.
 
Those who were doubting the number of floors on these babies are welcome to count.
44851366934_97e454e4fa_o.jpg
44851366934_97e454e4fa_o.jpg
 
Hamna maghorofa tz.nilikuwa naongea kuhusu nyumba za tope vijijini. Acha kujitoa ufahamu. Ukweli ndio huu, hamjui kinachoendelea kwenu kwa sababu mnatafuta mapungufu ya Kenya kuja kuyaanika humu.Hata MTU akijitia kitanzi kuna wale wamebobea katika hiyo kazi ya kuzileta hizo habari humu. Umewahi ona mkenya yeyote akifanya hivyo? Si mnaweza lialia hadi kwa mods apigwe ban?
mm nakuhakikishia magorofa yalioko dar kusanya magorofa yote nairobi + kisumu+ mombasa still huipati dar kwa magorofa 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom