komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Mmmm!!!mbna akina wema wanajiuza basi km mabilioni yanamwagwa kibao...alafu umaskini bado uko pale pale...km ni habari za ccm..hzo basi ni propagandachuma uncle magu
Mmmm!!!mbna akina wema wanajiuza basi km mabilioni yanamwagwa kibao...alafu umaskini bado uko pale pale...km ni habari za ccm..hzo basi ni propagandachuma uncle magu
Diamond haez tafuta hela kwa walala hoi...yeye ni mjanja...hatumii 1% ya akili km nyinyidiamond anaenda kukusanya pesa za kina elmatador na wenzake wampe pesa kwa wingi aje afungue miradi tu![]()
hilo shamba wanaoliweza ni wahindi na waarabu...wengine wakiwambia wao ni wazawaLeta orodha ya majumba yalioanguka kenya kutoka mwezi jana...gorofa linalojengwa liangushwe na upepo mbona mengine hayakuangushwa ????? yani lianguke linalojengwa tu mengine yanayojengwa hua hayaanguki, baby girl mambo ya ujenzi wachia wanume we shugulika na kutandika kitanda 😀😀😀😀😀

Mtoto wa nyoka nyoka ni nyoka tu...huez pingana na wahenga babaaaMtu hawezi kuwa mhindi halafu akawa Mtz, nimesha kueleza hapo juu mbona unakua na kichwa kigumu!! Hiyo hipo Kenya uko, Labda useme wa Tz wenye asili ya India au Uarabuni..
Kumbe vipi zile facts za Twitter..au yale pia si maoni ya watu...imekuuma..is tha the official link????😀😀😀😀😀😀😀 yani uchukue screen shot ya link ya maoni ya mtu uniambie hio ni official link haha kwa sasa hujapata burudika na hii ukipata official let me know plz
View attachment 911398View attachment 911406
Maoni ya ccm hayana tijaPamoja na kua na bandari maridhawa kabisa Mombasa ziwe tano ndio zifikie Dar
munalia na ichoboy sasa awasaidie nini??? umaskini wakwenu ichoboy anahusika vp![]()
Mbwa hazai mbuzi mzee babaHamna kitu kama hiko.. uraia wa Tz hautolewi kienyeji. Nitajie mmoja ambae una mjua amekuja Tz nakupewa uraia. Mbona lipo clear hili, hao akina bakhressa ata baba zao ni wazawa wa Tz.
Hapa lazima ule za uso...ukwel nje ya posta...tanzania hamna kitu...ni vituko tu
Hhhhjh!!!...sasa huu ni Ujinga gani unaleta
Zimeishajionee tu upanga sio size yako hata siku moja![]()
Dhorofa ndio nini in the first place?


,hata kwa kulewa kama yapo.Kwani mna maghorofa tz?Tunazungumzia ghorofa mama,huwezi jiongeza!!!!
Hata hivyo sijasahau,leta orodha ya maghorofa yaliyoanguka popote tz kwa upepo,hata kwa kulewa kama yapo.
akikuletea nitag bro😂😂😂😂Hata huko mashinani hakuna nyumba inayoangushwa na upepo.
Leta taarifa za mijini hata dsm dhorofa likianguka.
yule hajiuzi wema anapesa ya kukulisha wewe na familia yako miaka mitano bila kufanya kazi 😂😂😂😂💉💉💉💉Mmmm!!!mbna akina wema wanajiuza basi km mabilioni yanamwagwa kibao...alafu umaskini bado uko pale pale...km ni habari za ccm..hzo basi ni propaganda
dimond kawakamata ipasavyo natumai na ww utampa pesa yako plz😂😂😂👏👏Diamond haez tafuta hela kwa walala hoi...yeye ni mjanja...hatumii 1% ya akili km nyinyi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hilo shamba wanaoliweza ni wahindi na waarabu...wengine wakiwambia wao ni wazawa
umepata ya leo leo bado ya moto unaomba ya jana 😂😂😂👏👏👏💉💉💉Leta orodha ya majumba yalioanguka kenya kutoka mwezi jana...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sawa tumekuskia.HAPA RECEPTION YA UBUNGO PLAZA KUNA MODEL YA LARGEST MALL IN EAST AND CENTRAL AFRICAITAKAYOJENGWANDANI YA STEND YA MKOA PINDI IKIHAMA MWENYE KAMERA NZURI AJE ACHUKUE AWAONYESHE WATANI WA NYAYO
nilishawah kukwambia twitter hakuna upuuzi kule ni watu wanaojielewa bahati nzuri twitter nayoleta mie inahusian na KTN NTV the citizen sasa na hzo unakataa😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏Kumbe vipi zile facts za Twitter..au yale pia si maoni ya watu...imekuuma..