Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
wow!! nyumba za ghorofa hadi vitongojini... tena ghorofa 8 na ilifaa ifike ghorofa kumi na hatuna mbwembwe. tumetulia tuli! yaani ni jambo la kawaida sana.Laporomoka jingine , Majengo ya Kenya banaView attachment 911740
sasa nyinyi nyumba zenu hazina ghorofa, ni saa ngapi itaporomoka? na laiti mukipata jumba la ghorofa kama Mbeya City, lazma muchinje ng'ombe.





