Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20181021_155016.jpg
 
sasa towers mbili pekee ndio inawafanya munajifurisha kifua kana kwamba mumefika? unajuwa this thread does not make sense at all. munajitutumua lakini you guys are still toddlers. Wakenya wanakuja kwa hii thread kuona ujinga wenu na akili zenu finyu. endeleeni kutu-entertain
Sisi ndiyo tunaona elimu na akili zenu zilivyo mbovu na ndogo trust me kuna zaidi ya watanzania z 2000 members wa hapa jf na wengine zaidi ya 50,000 hufuatilia huu uzi nakuona jinsi WAKENYA/NYANI mlivyo vilaza hasa hasa sijui MWASSAT,KOMORA,HAMSTER,JANEROSE,WEWE,MK15 etc.
 
Cheap ,kama ww ni millionaire sio mvimba macho lakin kama unajiweza $500 -$2000 ni cheap sana View attachment 906146
Like I was saying area ni moja bt a hundred different name,nyuma kijitotonyama yoote ndii inaikana kwa picha alafu mnasema uoanga brabra na kama izi vijiapartment ndio millionaire wanaushi basic dar haina hadhi ya kulinganisha na Nairobi
IMG_20181021_184347.jpeg
 
Ebu leta all U/C buildings in Dar hapa.
Naona una commands kichiz.. Hiv are u a girl.. Kama u are nngependa kupata ur no.. Kenyan girls are wild on bed....

U/c sizijui nyng ila ntaziweka kumbuka kariakoo inajengwa ghorofa kila siku .. niweke na T/O au nisiweke ?
 
Nimenotice sikuhz inapicha Za Dar nyingi kunizidi ,iyo westy naipa miaka 100 ifikie Posta
Enzi za Google hauwezi daganya kijanana Mimi sina picha ata moja ya dar ni zenye zinapostiwa tu ukh ndio narudi tu nyuma ya pages nachukya
 
sasa towers mbili pekee ndio inawafanya munajifurisha kifua kana kwamba mumefika? unajuwa this thread does not make sense at all. munajitutumua lakini you guys are still toddlers. Wakenya wanakuja kwa hii thread kuona ujinga wenu na akili zenu finyu. endeleeni kutu-entertain

Bro ukiacha kichaa mambo yataenda sawa.

Ni city ipi iko na tower mbili??
 
Back
Top Bottom