ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
saanane mwanza










I thought you know better since you tanzanians started this topicNdio wewe utwambie sasa.
Lini?Janrose nataka nitoke na wewe mrembo wakat Tanzania itakuwa AFCON
wapi likoni inapumulia mipira ya mkojo asante mseven kwa kufata nyendo za nyerere bridge😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇wengine waliahidiwa likoni bridge miaka 30 iliopita😆😆😆😆😆✋✋✋
Rest in Peace English.
2019Lini?
Naona uko nje ya mada...hya na wewe waeza msaidia mwenzio pia...leta hapa muungano wa mombasa..manake mwenzako kashindwa...Wewe vip dogo mbona unakosa raha na kitu usichoweza kukibadili???
Haya tufanye tanzania na zanzibar ni nchi tofauti.
Pumzika sasa.
Umeshindwa...heheeeee!!!!Ukishajua history njoo tuendelee
case closed...nimekukamata...Hata wewe mwerevu pia unaeza msaidia....Achana na Kilaza hajui Kaanzia wapi na Ataishia wapi
dhumuni lake nn
Endelea na mada husika
Msaidie mwenzako wacha hasira...leo hapa hamtokiAcahana na hilo jinga, masikini wa kibera njaa tupu, amekuganda kama kupe. Mshauri akasafishe mitaro ya kibera kwanza akili imekuwa chafu kutokana na mazingira anayoishi.
Vp kuhusu wealthiest people and countries..nyinyi mnapatikana top ngapiUmesahau ukosefu wa maji!!!
Akina nani haoIt's wonderful, that is why!!..they call it a worse slum in the world!
Vp kusu vijiweni...wazee na vijana kupiga domo na umbea hapo dar slumSio wasee mpaka vijana unakuta wapo CBD wako wamekaa kwenye viunga na bahasha wanapiga miayo tu.
Duh!!!yani huaga mnajichanganya wenywe...wengine 700k...mara 250k sai...2.5 peples in nirobi are slum dwellers,250k of them live in kibera.
Kila siku wanajichanganya jane...ichoboy leo leo ana homa kali sana...jana kakalia kuti kavu...nampa sindano nadhani dawa sai imeingia vizuriahsante kwa kuelewa 250k dwell in kibera. What about the rest? 2.25M slum dwellers?in which slums do they reside?
Mara RC...leo kawa governor...yani kila siku mnaleta comedy...Ushawahi kumuona kwenye vikao vya U.N??..yule si raisi ni kama gavana,hupokea maagizo toka magogoni.
Nairobi ya 2010 ndio mgelinganisha na dar 2018.......lakini Nairobi ya saa i??Ni Westland Vs darUpload a picture showing Nairobi from above,no need of being that talkative!!!



Sisi ata tulishaa sahau tuko na downtown focus yetu ni Westland na upper hill 




Wacha hasira...zanzibar hupiga kura na kumchagua rais mpka sasa...Ni nchi ya mama yako!!!..mtoto mdogo unakuwa jingajinga,sasa unasema Zanzibar ni nchi!!ni nchi ya wapi,umeshawahi kuona kiti cha Zanzibar kwenye mikutano ya umoja wa mataifa??
hamtoki humu leo