Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Johannesburg hata si kubwa......We should dream of competing kina New York I believe Nairobi is in Africa 's best five and we should now focus on better challengers
Sure....ata ukiangalia hizo CBD zetu nne zina develop kwa speed ya juu sana
 
Slum City a.k.a Dar kushindana na Nairobi itawacosti

You wish ingekuwa 2005.

But i am sorry to say buda nai kitu mnasimama nayo kwa wanaume ni wanyama mjini,yaan fika nairobi uweze kuona na nyani kabisa.
 
Maji House Clading about to start 16flrs
Ubungo interchange U/C
IMG_20181021_174525_5.jpg
 
You wish ingekuwa 2005.

But i am sorry to say buda nai kitu mnasimama nayo kwa wanaume ni wanyama mjini,yaan fika nairobi uweze kuona na nyani kabisa.
sasa towers mbili pekee ndio inawafanya munajifurisha kifua kana kwamba mumefika? unajuwa this thread does not make sense at all. munajitutumua lakini you guys are still toddlers. Wakenya wanakuja kwa hii thread kuona ujinga wenu na akili zenu finyu. endeleeni kutu-entertain
 
You are free to say that part if you don't mind.
You know what, I didn't write my comment to be rude, but I wrote It because that's what I felt like about your country because I think that it's lagging behind. In terms of infrastructure you are still behind, we all are so if you want to turn this into some sort of a fight, Go ahead..... this media site is at your disposal
 
Maji House Clading about to start 16flrs
Ubungo interchange U/CView attachment 906276
The road (sam njuoma rd) along side this tower has alot of buildings
Mlimani city Mall completed
Mlimani city Hall
Mlimani city Office complex
Proposed Mlimani city Hotel and Botanical Garden
Pspf 9/14/35flrs towers T/O
Maji house 16flr tower T/O
Mwenge tower 6flrs complete
Mlimani plaza 13flrs T/O
Mlimani tower 11flrs complete
Mawasiliano towers complete
Magufuli hostels
Agakhan University proposed campus
Tanzanite tower Complete
Sos children's village
 
Waah, 16flr? Is that all you can post?. This shows that Dar has no U/C buildings currently.
Hehe sasa unataka nipige aerial pic hyo ni sehemu moja tu junction unaanza kulia lia kweli Dar imewakamata
 
sasa towers mbili pekee ndio inawafanya munajifurisha kifua kana kwamba mumefika? unajuwa this thread does not make sense at all. munajitutumua lakini you guys are still toddlers. Wakenya wanakuja kwa hii thread kuona ujinga wenu na akili zenu finyu. endeleeni kutu-entertain
Sasa na wewe utajiita unaakili
 
Back
Top Bottom