Bottas
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,817
- 1,142
Luna kesi kortini kuna watu wawili walijitokeza wakasema Wana miliki hio ardhi/ploti kwaivo developers wa pinnacle wakamriswa na mahakama wasitishe ujenzi Hadi kesi iamulie ....sasa sijui uamuzi utafanywa lini...Kaa ukikata viuno hapo,nakwambia mtataga nyinyi.
Kwanza mbona pinancle hamuileti humu siku hizi,jamaa wameondoka site nini???

