Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani Tz majiji hamna, Eneo kubwa ambalo linapigiwa kelele Tanzania nzima ni Dar es Salaam sasa dar es salaam mitaa yake inachekesha sana, siku moja nilitoka magomeni makuti kwa miguu nikala boda naitaka pale komakoma mwananyamala yaani ni hatari tupu,
1. Nymba zipo varuvaru mlango wa mbele wa nyumba hii umeelekeana choo cha nyumba nyengine
2. Vinjia sio rasmi watu kupita mara unatokeza uwanjani watu wamekaa uanze kuwachupa chupa
3. Maji machafu watu wanamwaga mara yanakupata ya uso.
4. Saa nyengine inabidi usimame kumpisha mtu anaetembea kwa miguu kwanza apite yeye au upite wewe mana vinjia ni vyembambaaa au mugusane viuno kwa viuno au tumbo kwa kiuno
5. Shida kubwa nyengine niliyoiyona olewako sasa utake kurudi ulikotoka utapotea mpaka utapotea na tena hakuna njia strait wala alama zozote ni tafran tupu
anaebisha abishe lkn huu ni ukweli
kweli kabisa. yaani nyumba zimepangwa kama crossword puzzle.... vichochoro vingi hata hujui uendako wala utokako. kila sehemu ni shida tupu
 
Twins
tapatalk_1539788925927.jpeg
tapatalk_1539788736037.jpeg
 
kweli kabisa. yaani nyumba zimepangwa kama crossword puzzle.... vichochoro vingi hata hujui uendako wala utokako. kila sehemu ni shida tupu
😂😂😂hizi posts unazitoa wapi lakini? That one above summarizes how darislum is. This thread should be closed/pulled down for that matter
 
Back
Top Bottom