Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Try to differentiate the two....westy,Dar slumView attachment 900490View attachment 900499
😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇ukitaka kupasuka fata unyayo huuu
yani hapa kusanya CBD chukua westland na upper hill bado mutalia sana
B185AD52-122A-4875-9384-8C3C3D420025.jpeg
C92769B2-3799-4858-AF50-4083345518A1.jpeg
8E016E6D-5220-4515-B571-C938A37AC10B.jpeg
8873D5E5-C544-475C-988E-699EDEC5BE3E.jpeg
289FAE39-49E5-4E77-87D1-F300A87F5B6D.jpeg
56A97D2B-FB01-4356-BA4E-67C69DB0C539.jpeg
27977489-72AA-418E-9612-E5D70D04BAC0.jpeg
3217E3C1-1B6C-4C4E-A019-7BA07541CEDB.jpeg
67C22F5C-941F-4535-8EA6-63725B885084.jpeg
E692F72B-F373-4EC5-AF9C-433BF271A067.jpeg
F9D62DA2-7237-41F7-800D-74BE20CB169E.jpeg
A4B4DFA2-1749-43A1-9F19-A2D910F11581.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]ukitaka kupasuka fata unyayo huuu
yani hapa kusanya CBD chukua westland na upper hill bado mutalia sana
View attachment 900667View attachment 900668View attachment 900669View attachment 900670View attachment 900671View attachment 900672View attachment 900673View attachment 900674View attachment 900675View attachment 900676View attachment 900677View attachment 900678

Wakati huo kinondoni haipo kabisa hapo,yaani umeiacha kabisa[emoji1][emoji1][emoji1]nimewaambia 2020 watajua walikuwa wamelala,wakanitukana.
 
Wakati huo kinondoni haipo kabisa hapo,yaani umeiacha kabisa[emoji1][emoji1][emoji1]nimewaambia 2020 watajua walikuwa wamelala,wakanitukana.
hapa sasa hvi hawaamini vp hio hio 2020😂😂😂😂😂😂 anatuonesha uchafu wa kilimani na westland ye anafkiri hzo avic ndio amemaliza kabisa😆😆😆
 
Spot the 4 cbd kwanza,mzee wa cbd halafu tuendelee mimi nitakuonyesha mpaka kibanda unachoishi.
pumba si ndio nasema hii picha ni 70s-80s izo enzi cbd ilikua moja sasa ziko nne,hizi hapa chini ni 3 distinct cbds na kilimani ya nne ni upcoming .
1.old cbd
2.upperhill
3.westlands
4.kilimani(upcoming)
e1efdd138e0410287b90244fe47e28a5.jpeg
tapatalk_1525431933579.jpeg
43233090141_3b4d119e12_o.jpeg
tapatalk_1539758767816.jpeg
tapatalk_1539759284621.jpeg
tapatalk_1539759336852.jpeg
 

Attachments

  • tapatalk_1539759336852.jpeg
    tapatalk_1539759336852.jpeg
    51.5 KB · Views: 31
tv channel gan kenya inaweza kuonyesha mechi za mpira zaid ya mbili live kwa siku moja ?View attachment 900698
Kuna Bamba tv ndiyo walipewa rights za ku air ligi yao. Kama umezoea kuangalia Azam sports uki tizama hiyo bamba kwa zaidi ya dakika 3 utakua na PHD ya uvumilivu! Poor sound, picha ndyo balaa maukungu, slow mo za hovyo kama una watch world cup enzi za kina pele [emoji1]
 
pumba si ndio nasema hii picha ni 70s-80s izo enzi cbd ilikua moja sasa ziko nne,hizi hapa chini ni 3 distinct cbds na kilimani ya nne ni upcoming .
1.old cbd
2.upperhill
3.westlands
4.kilimani(upcoming)View attachment 900729View attachment 900730View attachment 900731View attachment 900732View attachment 900733View attachment 900734

Hahaaa mzee wa cbd nne,leta aerial ya hizo cbd zote nne combined[emoji23][emoji23][emoji23].

Unasema ya 70 wakati ile picha ina prism wewe mtu hauko sawa.
 
Back
Top Bottom