Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

*Unga na nunua ya Jogoo.
*Mboga nanunua ya Central.
*Nyama nanunua ya Kiserian.
*Maji nakunywa ya Ndakaine.
*Maziwa nakunywa ya Brookside.
*Chai nakunywa ya Kericho.
*Sukari nakunywa ya Sony na Kabrass.
*Samaki nakula ya Kisumu.

#MNATULISHA UJINGA AMA?
Na mahindi ya Eldoret
 
But in the list of top ten tallest buildings with n Africa I only see two from Tz, please explain this.
The tallest building in dar is tpa tower, pspf towers,waambie hao wanaoandika izo list zenu wapimwe mkojo
Nyumba zenye zaidi ya 140M ni pamoja na mzizima tower, ppf tower na mnf tower kama wanalist kwa kufuata metre basi yafaa wawe realistic
 
Tz ndio nahurumia mtawahi fika hii class kweli
Nairobi, Loresho estate

7940432_img20181011214753_jpege0d20463b63e91c82008d8cc7cdd8124

7940433_img20181011214732_jpeg17bbb81f05dc830d68003a4854b11599

7940435_img20181011213329_jpeg52e821ea01060568763ffb7155d7110f

7940754_img20181011220417_jpegf6ef66a7c747eb0baec17985134be911
 
Ziko mingi sana. Tuzo,Daima,Fresh etc... Among the popular ones. Kenya inaproduce maziwa mingi saana. Some companies are regional why should I take milk from Tz?
yani hadi maziwa ni lazima ununue ya brookide?hakuna kampuni zingine?
Sasa uku vyote ulivyotaja vinapatikana mtaani maziwa yasionajina maalumu unga unasaga mwenyewe mboga unalima mwenyewe ng'ombe nyama zipo zakutosha samaki ziko aina zote !!maisha yenu yako juu kisa ujinga
 
Napia kitale. Sasa Tz wanatulisha nini? Ubongolala ama?
Ziko mingi sana. Tuzo,Daima,Fresh etc... Among the popular ones. Kenya inaproduce maziwa mingi saana. Some companies are regional why should I take milk from Tz?
Sidhan kama kila jambo linahitaji mabishano!!Amini kwamba Tz haiwauzii chakula chochote ukiamini hivyo nnauhakika utaongeza kilo moja kwenye mwili wako !!
 
hii nchi kila kila mtu ana msongo wa mawazo(depression).... nilidhani ni majobless peke yao.
Screenshot_2018-10-12-13-28-46-647_com.facebook.katana.jpeg
 
Back
Top Bottom