Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lavalava....
Screenshot_2018-10-12-09-52-05-411_com.twitter.android.jpeg
 
Hii hapa ya mwaka huu

pia grades za form six zipo kama invyooneshwa hapo chini
Hapo ndio kuna maelezo yote ya jinsi division zinavyopatikana, kwahiyo tukisema mtu kapata Division one uwe unaelewa jinsi inavyochakatwa.

Pia jambo lingine zuri Tanzania ni kuwa si kila mwanafunzi aliepata vizuri basi lazima atataka kusoma Udsm. Hii ni kwa sababu tuna vyuo vingi ambavyo ni special kwa fani mbalimbali. Mfano

Muhimbili University ni kwa ajili ya fani za afya tu

Ardhi university ni kwa ardhi tu

Sokoine university ni kwa ajili ya kilimo tu

IFM ni kwa ajili ya finance and related courses.

NIT Ni kwa courses za transport

Mzumbe University ni kwa courses za biashara na uongozi

TIA ni kwa courses za uhasibu

MUST, DIT na ATC ni special kwa engineering tu.

Udom na Udsm ni general

Kwahiyo karibu sana Tanzania kwa ajili ya kusoma. Pale University of Dodoma tuna nafasi 40,000 (zote on campus ). Na bado hazijajaa.

Hapo chini ni combinations mbalimbali za A level


Screenshot_2018-10-12-09-54-56.jpg
 
Back
Top Bottom