Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Achana na huyo kilaza. I only see him in this thread bullying Kenyans. Mbona mnamwogopa hivyo lakini? A Tanzanian can't bully me. NEVER!!!Advanced certificate ndio ka diploma......
Achana na huyo kilaza. I only see him in this thread bullying Kenyans. Mbona mnamwogopa hivyo lakini? A Tanzanian can't bully me. NEVER!!!Advanced certificate ndio ka diploma......
Mtanzania kwa social media ni kelele tu lakini ngoma ikianza anabaki hoi bin hoi...hawa hata tuweke UDSM vs MKU kwa contest ya hesabu mku can whitewash them clean😀😀😀halafu Anna anaturingia na tuhesabu twa substitution na integration. Kuji-console zaidi anadanganya periodic table inafanywa na watoto wa primary huko kwao. Geography ya class 4 inafunzwa form 3.good definition of an LDC country with LDCic minds
Mwanafunzi wa Kemia form 3 Tanzania anafanya Practicals zote 3Lazima kieleweke. Kwanza wakubali elimu yao ni duni ndio tuendelee. Wanaringa na PCB unaweza dhani ni kitu complicated. Kumbe ni visayansi wanatry ku glorify.Mwingine alisema Kenya hatufanyi practicals kama titration ya chem. Tuliifanya form 3.wao wanaifanya form 6
Mmmh we dada hebu jaribu kufanya utafiti syllabus y advanced Ed y nchi zilizoendele eg UK ili kuenda Higher ed, syllabus zao zikoje.Lol.vihesabu vya form 2
Huyu jamaa ana ingia JF akiwa amevuta Bangi. This is a Donkeys penis city👇👇👇nairobi imeshindwa kukimbiza itakua hio mombasa😂😂😂😂😂😂
You said your living this threadAchana na huyo kilaza. I only see him in this thread bullying Kenyans. Mbona mnamwogopa hivyo lakini? A Tanzanian can't bully me. NEVER!!!
No comment i rather shut the *** up coz this is fricking dope!..awesome.yow bro...this is kenya
Kenya
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
University physics enzi hizo unit ni lbs. Roger muncaster. Tom duncan. Schrodinger eqtn. Waache matani na use of oxygenMwanafunzi wa Kemia form 3 Tanzania anafanya Practicals zote 3
Qualitative analysis, titration na chemical kinetics. Pia mwanafunzi wa A level anafanya Practicals hizohizo lakini zinakua more advanced kuliko za O level. Nadhani hapa tumemalizana.
Lakini what matters ni umefaulu haijalishi ulisoma kenya au Tanzania kwa sababu ukiwa daktari Kenya hakuna kitakachokuzuia kuwa daktari Tanzania. Ndio maana kenya waliagiza madaktari kutoka Bongo baada ya wa huko kugoma. Jiulize sasa kama Sisi tuna elimu duni kwanini Kenyatta asiombe kwingine ila akaja Tanzania??.
Huwezi mkuta mwanafunzi wa A level bongo anasoma kitabu cha kenya hata siku moja. Katika chemistry vitabu vyetu ni hivi S Chand conceptual chemistry for class Xi,(form 5) S Chand conceptual chemistry for Xii(form 6 ) na Rasmden A level Chemistry
If you wanna have fun at anytime,please visit Tanzania..they have the best traditional African entertainment groups,infact your 1000 British pounds will keep you entertained for a whole week.....like the dude above you will be entertained properly,but that is as far as you can go...if you want to invest billions of dollars in hotel industry and entertainment the place is Kenya...the prince while in Kenya visited the British soldiers setting up a camp in nanyuki and his country of birth just confirmed they are setting up a 2000 bed capacity hotel in upper-hill Nairobi...so in recap have fun in Tanzania but put your money in Kenya and everyone is happy.wakenya nin hichi mlichofanya tena?[emoji32][emoji32]View attachment 893856View attachment 893857View attachment 893858View attachment 893859
Nairobi university hushindana na vyuo vya S.A among top 10.Hata vyuo vya naija havioni Nairobi. K.U ni no.30 while UDSM ni 32.sijui huko kwao wanasoma miaka mingapi chuo kikuu.Mtanzania kwa social media ni kelele tu lakini ngoma ikianza anabaki hoi bin hoi...hawa hata tuweke UDSM vs MKU kwa contest ya hesabu mku can whitewash them clean
95% ya wa mombasa iwapo leo ipite kura ya maoni kati ya kwenda kuwa upande wa Tanzania au upande kenya,watachagua TanzaniaKuna siku nilikua na wakenya wawili mahali nje ya Africa. Mmoja wa Mombasa huyu yuko poa sana na anaongea swahili safi. Watanzania tulikua tunampenda sana akawa rafiki yetu sana. Ila huyu wa Nairobi alikua anawadharau sana watu wa Mombasa na kuwaita wavivu hapa aliniudhi sana.
Mi nimesoma mtihani wenu . Elimu yenu ni ya kubembelezana sana. Mnajua kwenda na fursa nothing more. Mko very strategic. Nimesoma science ile sio paper ya mtu kwenda chuo.Eti use of oxygen kwa physics?who said that? Acheni kujitungia maneno
Ukiweza kutembeza maswali ya muncaster basi we kidume. Ukitoka hapo unaenda kwa mababu mawili (Nelkon na university physics ) then unapumzikia Tom Duncan. Siku hizi imeongezeka S Chand conceptual physics.University physics enzi hizo unit ni lbs. Roger muncaster. Tom duncan. Schrodinger eqtn. Waache matani na use of oxygen
Picha ya 2008 leta 2018 tuoneHuyu jamaa ana ingia JF akiwa amevuta Bangi. This is a Donkeys penis city[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 894288
Ndani ya miaka hii kumi Udsm ilikuwepo top 10, imedrop ndani ya hii miaka 5 iliyopita. Kwahiyo usijidai kama vile hiyo nafasi hatujawahi kushika. Wakati Udsm ipo top ten UON haikuwepo.Nairobi university hushindana na vyuo vya S.A among top 10.Hata vyuo vya naija havioni Nairobi. K.U ni no.30 while UDSM ni 32.sijui huko kwao wanasoma miaka mingapi chuo kikuu.
Sitakuitisha evidence lakini naomba uniambie ni mwaka gani huo?Ndani ya miaka hii kumi Udsm ilikuwepo top 10, imedrop ndani ya hii miaka 5 iliyopita. Kwahiyo usijidai kama vile hiyo nafasi hatujawahi kushika. Wakati Udsm ipo top ten UON haikuwepo.