Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daah kweli kaka..umenikumbusha mbali sanaa walikua wanawapeleka Uganda na Kenya halafu wakawa wakirudi na Kiingereza kingi kichwani maarifa empty. Kenya ninachokubali wanatushinda ni Kiingereza tu na ndo mana wakija huku wanakuja kufundisha Kiingereza tuu na makazini ktk maofisi wanakuja kufanya marketing sababu ya Kiingereza. Sijawahi kuona Injinia na dakitari anaeweza kuja ku compete hapa Bongo.
nakumbuka rafiki yangu mmoja alikuwa kilaza sana class. wazazi wake walikuwa wapo vizuri kwenye suala kipato, so wakaamua kumuhamishia kenya.

wapo wengi sana sema ni ngumu kupata data kamili.
 
Mschewwwwwwww! Eti kilaza housemaid.you bully unikome kabisa. Wewe ni bure kabisa. Unaleta hisabati na hujui chochote hapo. Bastard
 
The one Africa takes westlands into another level.
30240883917_d30b3dbe2e_b.jpeg
30240533917_08e67ef68c_b.jpeg
44456801054_209c95858f_b.jpeg
45179076871_5637f45b73_b.jpeg
 
kumbe hivi ndio mwanaume huskia akicatch mafeelings Buda Kenya is a capitalized Nation! Hakuna kitu ya mtu huku. Mombasa port ni Mali ya Mombasa County/Uganda/KRA/Kenya Navy. Utangoja sana Port ya kenya kunyakuliwa
kwani hatuna malls, kwani cruise hips hazijawahi kufika Dar port? kwani hatujengi sgr? tena yenu mnaliwa hela na wachina na ninasikia karibia wachukue mombasa port. Serikali yenu iko desperate sana sasa hivi kufuta deni na china mpaka wakatoa proposal ya kutax gasoline up to 16% halafu unataka kuniambia hivyo ni vya kwenu? majengo sio muhimu kama seriakali au wananchi hawafaidiki na chochote.
 
Back
Top Bottom