kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
nakumbuka rafiki yangu mmoja alikuwa kilaza sana class. wazazi wake walikuwa wapo vizuri kwenye suala kipato, so wakaamua kumuhamishia kenya.Daah kweli kaka..umenikumbusha mbali sanaa walikua wanawapeleka Uganda na Kenya halafu wakawa wakirudi na Kiingereza kingi kichwani maarifa empty. Kenya ninachokubali wanatushinda ni Kiingereza tu na ndo mana wakija huku wanakuja kufundisha Kiingereza tuu na makazini ktk maofisi wanakuja kufanya marketing sababu ya Kiingereza. Sijawahi kuona Injinia na dakitari anaeweza kuja ku compete hapa Bongo.
wapo wengi sana sema ni ngumu kupata data kamili.






