fanya uchunguzi wako vizuri acha kukurupuka.
mid 90s mpaka mid early 2000s wazazi wengi wenye kipato cha kati hapa tz walikuwa wanasomesha watoto wao katika sekondari za kenya.
sababu pekee ilikuwa ni kukwepa ushindani mkali wa ufaulu hapa tz.hapa utapata kundi kubwa la vijana waliofeli national exams nchini tanzania kukimbiziwa kenya na kuanza kurudia madarasa.
pia wazazi wengi walikuwa wanamini kuwa kingereza ndio kila kitu so walikuwa wanaleta watoto kenya ili wapate experience ya kuzungumza/kuandika kengereza.
by then serikali ilikuwa haijaruhusu watu binafsi kumiliki shule. shule karibia zote zilikuwa zinamilikiwa na serikali na taasisi za kidini.