Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

uzuri hapo youtube unapoojisifia sijawahi ona meaningful discussion kuhusu tz na kenya.

only thing that i witness is kenyan youth talking about how sweet is our music.

fact
View attachment 880193
Capture.PNG

Ouch!....
 
grants ni kitu ya kawaida kwa third world countries...........its the proceeds from what they have stolen in Africa especially the congo that they bring back packaged as 'aid' or 'grant'
ahahaha hzo ni hasira sasa 😂😂😂😂😂
 
naomba usuni quote tafadhali mm siongei na vilaza
Sikuquote tena ila ningetaka kukukumbusha kwamba 6 feet underground ni lazima. Zidi kuwacheka wafu. Ipo siku tu mchwa watauchangamkia huo mwili wako.Mimi si kilaza kama wewe maana sijawahi cheka yeyote kisa kafa au kuwacheka wafiwa. Endelea kucheka watu wanaojitia kitanzi. Mola anakuona.we are all flowers quickly fading here today and gone tomorrow.
naapa kwamba sitakuquote tena.
 
Back
Top Bottom