Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

They say we are tribal but at least we are a very free and liberal country........hata USA kuna racism

Aaah! hapa ninaona unajifariji tu. Asiyejua anaweza kuona kuna hicho unachodai lakini kiundani hali haipo hivyo. Kila uchaguzi lazima auawe mtu, hiyo demokrasia gani? Aidha, unatoa mfano wa USA, kwani hao ndiyo mfano wa demokrasia ya kweli?
 
Aaah! hapa ninaona unajifariji tu. Asiyejua anaweza kuona kuna hicho unachodai lakini kiundani hali haipo hivyo. Kila uchaguzi lazima auawe mtu, hiyo demokrasia gani? Aidha, unatoa mfano wa USA, kwani hao ndiyo mfano wa demokrasia ya kweli?


ok
 
Basi kumbe ushamaliza kesi. Hapo ninaona ni suala la nipe nikupe. Kama ni matusi hata wewe ninaona unayatoa na wao wakikupa ni sawa tu. Na ni suala ambalo pande zote mmeridhia, hasa nikizingatia sentensi yako ya mwisho.
Hamna anayeumia. Yote mema.
Ukimwogopa mwanadamu utaishi maisha mabaya sana
 
ok....noted.but mbona simsikii sana
siasa zetu za sasa ni za hapa kazi tu.
ni ngumu sana kwa ministers au high ranking government officials kusikika kwa show off bila kazi.

kwa sasa antony mavunde ni deputy minister for the ministry of labour, employment, youth and the disabled, but before that he was the regional commissioner of dodoma... he is very popular among the youth.

babu owino anafahamika sana eastafrica kwasababu ni mtu controversial asiyekubaliana na policy za uhuru kenyatta.
 
Back
Top Bottom