Smh....!!!!
Ndinda tuletee huu mjengo, najua wewe ni expert.. Photo moja unaweza unganisha PPF, TCRA, Millennium tower na Morroco squareView attachment 893630
This is niceAisee mkuu habari ni mbaya ( bad news kabisa) 🤣
Nilipita mlimani campus tarehe 25 Mwezi wa sita 2016 nikapiga picha Hii hapa chini.
Basi nilipapenda sana ile angle niKasema subiri yakamilike nije ninyuke kitu matata, focus yangu ilikua Morroco square kule. Juzi nimerudi nikakuta na miti imekua imefunika sioni kitu kabisa .
Ndio nilipokumbuka msemo wa Teacher wangu wa Geography kwamba land information is dynamic over time
View attachment 893644
Nipe coordinates za hiyo sehemu nikaikate kabisa hiyo mitiAisee mkuu habari ni mbaya ( bad news kabisa)
Nilipita mlimani campus tarehe 25 Mwezi wa sita 2016 nikapiga picha Hii hapa chini.
Basi nilipapenda sana ile angle niKasema subiri yakamilike nije ninyuke kitu matata, focus yangu ilikua Morroco square kule. Juzi nimerudi nikakuta na miti imekua imefunika sioni kitu kabisa .
Ndio nilipokumbuka msemo wa Teacher wangu wa Geography kwamba land information is dynamic over time
View attachment 893644



Hivi unaifahamu Kariakoo
Aisee mkuu habari ni mbaya ( bad news kabisa) 🤣
Nilipita mlimani campus tarehe 25 Mwezi wa sita 2016 nikapiga picha Hii hapa chini.
Basi nilipapenda sana ile angle niKasema subiri yakamilike nije ninyuke kitu matata, focus yangu ilikua Morroco square kule. Juzi nimerudi nikakuta na miti imekua imefunika sioni kitu kabisa .
Ndio nilipokumbuka msemo wa Teacher wangu wa Geography kwamba land information is dynamic over time
View attachment 893644
Nipe coordinates za hiyo sehemu nikaikate kabisa hiyo miti![]()
Miti ilikusikia ukijiambia jambo,nayo ikaamua kufanyia hiyana.
Nipe coordinates za hiyo sehemu nikaikate kabisa hiyo miti![]()
hata ww pia unaogopa madem??Achana na huyo mpuuzi,huwa hatujibu wapuuzi.
Hajui nini anaandika.
Ilo jengo hua limesimama mda mrefu sana, ungekuta limeshaisha
hiyo idea hata mimi nimekuwa nikiitafakari sana.maana lile pori lao ni kama lipo useless, linahifadhi wapiga ngeta tu mida ya usiku.Hili jengo litaanzisha mwendo kama millenium towers pale makumbusho. Ubungo Interchange iki isha Sam nujoma road vitaota vitu vingi. Udsm wange lease ardhi yao iliyo pembeni mwa road kwa kuikata kata to any serious investors wenye uwezo kutumia vizuri ardhi kwa kwenda juu (more than 30 floors). Ila agreement ziwe na manufaa kwa kwa pande zote. Tofauti na hivyo ile ardhi itakua under utilized.
jana nilikuwa natazama interview fupi ya architect aliyebuni hilo jengo lao, akasema he was inspired by the penis of the donkey... nikacheka sana.





Hahaa.. nasikia pale ni noma mida mibovu!hiyo idea hata mimi nimekuwa nikiitafakari sana.maana lile pori lao ni kama lipo useless, linahifadhi wapiga ngeta tu mida ya usiku.

Noma sana.Hizi pia ni same location mkuu.
View attachment 893685
View attachment 893682
View attachment 893683
View attachment 893684
Hii picha imepigwa udasa uwanjani karibu na shule ya msingi mlimani.