Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio hivyo jembe, kutingishwa humu lazima ila lazima uwe smart ,mlimpanikisha collohmzii hadi akawa anataka kuwameza
shida mojawapo ya wakenya ni tabia yao ya kuwa hostile and short-tempered.
nadhani hili linatokana na ile chuki yao ya kikabila dhidi ya wao kwa wao.

they don't have that sense of humor while discussing with them.utani wa kawaida wao huuchulia serious sana.

nakumbuka collo mzii tulikuwa tunamtania kuwa yeye ni watchman, alikuwa anakasirika sana na kuanza kuporomosha matusi dhidi yetu, matokeo yake akawa anaishia kupigwa ban.

huyu kilaza mwengine na yeye kumuita housemaid imekuwa ni issue kubwa kwake, yaani anaumia sana. kwani housemaid si ni kazi tu kama kazi zingine. .

uzuri tushajua weak point zao, kwa hiyo tunapita nazo mlemle ili kuwamaliza.
ni mchezo wa mind game tu.
 
Pambaneni na hali yenu.
But I think you can advise them to consult a doctor.
Unfortunately the condition they have can't be cured. I hope something could be done to avoid extremity though
Housemaid vipi!? Siku hizi unakesha JF!?
 
The young versatile city Mp...Embakasi East constituency.....his pekness Babu Owino
Instagram_he.babuowino_40034862_687079888323170_5810576716917112832_n.jpeg
Instagram_he.babuowino_41687916_148770479396714_7202712231869032766_n.jpeg
Instagram_he.babuowino_41560114_740166502990051_2573812740893527741_n.jpeg
Instagram_he.babuowino_37961203_1409442229200474_906520300282183680_n.jpeg
View attachment Instagram_he.babuowino_38217530_289476325190081_1794614576684204032_n.mp4
 
And you kadada the reason why I insulted you ni kuja kuanika posts zangu hapa.That is a joke taken too far. Nilikwambia kama ni kunipachika majina hapo ni sawa hata ukiniita kahaba najua wamejaa arusha na mwanza you little thing.
 
Kwa kuongezea hapo Ukichaguliwa technical school somo la history halisomwi kabisa. Pia physics ipo tofauti kidogo inaitwa engineering science. Halafu ukifika form 3 inabidi uchague kati ya biology na geography. Hii yote ni kwa sababu inatakiwa jumla ya masomo isizidi kumi.

Kwa masomo ya engineering yamegawnyika kama ifuatavyo

1 - CIVIL ENGINEERING hapa wanafunzi wanaganywa makundi matano
.- carpentry & joinery/woodwork (fundi seremala )

- plumbing (fundi bomba )

- Masonry (fundi uwashi )

-painting (fundi rangi )

- Surveying (upimaji )

Kuna masomo mawili ambayo wanafunzi wote wa civil wanasoma. Masomo hayo ni BUILDING CONSTRUCTION na ARCHITECTURAL DRAUGHTING

2 - MECHANICAL ENGINEERING
hapa wanafunzi wanaganywa makundi matatu
- Motor vehicle mechanics (mambo ya magari )

-Fitting & TURNING (huhusika na utengenezaji wa vifaa vya kuunga kama screws )

- Welding & Metal Fabrication (uchomeleaji )

Wanafunzi wote wa mechanical engineering ni lazima wasome masomo mawili ambayo ni WORKSHOP TECHNOLOGY na MECHANICAL DRAUGHTING

3- ELECTRICAL ENGINEERING
Hapa wanafunzi wanagawanywa makundi mawili

-Electrical installation (hawa huhusika sana na usukaji wa umeme )

Electronics/ Radio & TV servicing (hawa huhusika na utengenezaji wa vifaa vya umeme )

Wanafunzi wote wa electrical engineering ni lazima wasome ELECTRICAL ENGINEERING SCIENCE na ELECTRICAL DRAUGHTING

Mwisho wa siku mwanafunzi anafanya NECTA kwa masomo kumi (saba ya kawaida na matatu ya ufundi )
Daaah mkuu
Mi nilipita Mazengo tech, umechambua vzuri sana tulivokua tunasona. Bila shaka umepira technical school
 
Hey! You wanna reconcile the two parties? These people are irreconcilable. You are just wasting your time.mtafiti .nenda ukaendelee na utafiti

Vyovyote utakavyoweka, mimi nilitaka tu kushindana kwa hoja. Sasa jinsi ninavyokuona hata wewe huhitaji hoja, naona unatoa tu ulichonacho moyoni. Tena unashangaza, wewe mwenyewe unashambulia, ila ukipata athari mbadala unalalamika. Kama ulishaamua kumwaga mboga, mwingine akiubeba ugali usilalamike.
 
Back
Top Bottom