mimi sijawafanya kitu chochote kaka, ni ujuaji wao ndio unawaponza.na siku zote kama umechunguza, mkenya huwa anaponzwa na tabia ya ujuaji.
imagine kuhusu elimu yetu, kila kitu walichokuwa wanaelezewa wanadai walishasoma wakiwa form two... mwingine anakwambia sijui topic fulani alishasoma akiwa primary.
nilipoleta national paper ya form six ya advanced mathematics baadhi yao wakaamua kupiga kimya.
halafu wala wasikuzuge na hiyo style yao ya kususa, hawajaanza leo. wanasusa but after some few ours wanarudi kuja kukomenti.na wengine huwa wanarudi kwa ID mpya. binafsi nimeshawazoea.
washatumia kila mbinu ili kumshawishi moderator ifungwe hii thread wameshindwa.