Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duh leo umekesha JF. Sasa tunataka majibu ya questions zilizotolewa hatutaki bla bla.
hahahaha... kapiga night shift....basi sidhani kama kaenda warshroom kusafisha "K" maana ni kawaida kwa wanawake wa kenya kutosasafisha K vizuri kwa kutumia maji. wengi hutumia tissue paper. ndio maana K zao hutoa harufu mbaya wakati wa tendo.
 
Nilishangaa kuona vitu ambavyo tulifunzwa darasa la nne zinafunzwa kidato cha tatu huko bongo.
But hvo hvo form 4 wa kenya akija bongo atakubaliwa chuo kikuu hta bila ya kupitia form5 na 6...jiulizeni tatizo n nn sasa hapo
form 5 and 6 ni rahisi sana compared to form 4 ya Kenya ...................most kenyans who score grade C minus and D plus end up with distinctions in O levels
hahaha...........i am talking of an A plain of 84 out of 84 points ............thats the qualification for direct medicine and surgery course in kenya.....hata na 83 points huwezi pata
Elimu ya bongo huwezi fananisha na ya kwenu.

Nilipokuja marekani kusomea ECE waliniambia sina haja ya kusoma baadhi ya courses za sayansi na hisabati kwa kuwa nilishazisoma bongo (PCM). Wakaniambia niwaombe NECTA watume results zangu moja kwa moja chuo na walipozipata wakanipa credits 33 za phys, chem na math, kama prerequisite za engineering badala ya kuanzia na zero credit kama wenzetu kutoka Kenya.

Somo ambalo waliniambia nisome pale chuo kama prerequisite ni darasa moja la laplace transform (3 credits) kwa kuwa lilikuwa halipo kwenye syllabus ya A-levels bongo. Wenzetu wakenya walikuwa wanakataliwa ku transfer credits zao za KNEC kwa kuwa elimu yao haikidhi viwango.
 
Tangu nilivyoamua tukomae na mada ya elimu na wadau walivyoanza kuingia deep hawa jamaa wamekimbia,nawasubiri kwa hamu wajibu maswali ya msingi humu tuendelee
 
Kwahyo ww ni vuvuzela? Wasomi wa kenya wap hao kama we haupo
Wakenya waliomo humu jf ni wachache sana. Sidhani hata wamefika kumi. Hata mimi acha nijiuzulu maana naona hatusaidiani.
Swala la teknolojia hapo mko mbali sana. Hata hamtufikii sisi waganda. We are no.9 in Africa .Zimbabwe is at no.10
1.S.A
2.Egypt
3.Nigeria
 
mtanzania hawezi mshinda mkenya hisabati.japo sikufnya topics kibao naona hayo maswali ni rahisi sana.Mbona hamfunzwi jiografia huko kwenu?
Mbona unabwela mbwela kijana. Sema kweli humjui Maths.
Sasa unaanza kurukia Geography huoni unajiaibisha kijana. A-Level
EGM, CBG, HGL, HGK, PGM.
Mimi nimesoma PCM kijana(Physics, Chemistry and Mathematics).
Sasa Geography wapo wataalamu wewe leta mtihani wako hapa.
Ila jibu kwanza maswali uliyopewa acha bla bla za kikenya.
 
Mbona unabwela mbwela kijana. Sema kweli humjui Maths.
Sasa unaanza kurukia Geography huoni unajiaibisha kijana. A-Level
EGM, CBG, HGL, HGK, PGM.
Mimi nimesoma PCM kijana(Physics, Chemistry and Mathematics).
Sasa Geography wapo wataalamu wewe leta mtihani wako hapa.
Ila jibu kwanza maswali uliyopewa acha bla bla za kikenya.
I can't waste my 3hrs doing something that will add no value to my life.
By the way I calculated no. 2@ .
Is the formula correct?
 
mtanzania hawezi mshinda mkenya hisabati.japo sikufnya topics kibao naona hayo maswali ni rahisi sana.Mbona hamfunzwi jiografia huko kwenu?
Kwenda zako hukooo
Nani apite sekondary Tz asijue sijui vi.. oxbow lake, yazoo stream na takataka zote za physical geography. Nani asijue map reading, nani asijue climatology sijui vi plate tectonic movements. Kwa taarifa yako mimi niliijua Lokichogio toka primary kua its a town in Turkana district north west of Kenya.
 
Kwenda zako hukooo
Nani apite sekondary Tz asijue sijui vi.. oxbow lake, yazoo stream na takataka zote za physical geography. Nani asijue map reading, nani asijue climatology sijui vi plate tectonic movements. Kwa taarifa yako mimi niliijua Lokichogio toka primary kua its a town in Turkana district north west of Kenya.
But Anna is so poor in geography
 
I can't waste my 3hrs doing something that will add no value to my life.
By the way I calculated no. 2@ .
Is the formula correct?
We are not talking about formula my friend. If you don't know admit it.
Hapa unapiga bla bla tu. You head is empty.
 
endeni google wenyewe....senji.
kcse1.jpg
 
Janerose wanafunzi wengi waliohitimu form four hapa Tanzania lazima wasome masomo haya saba
1.Mathematics 2.Geography 3.Civics 4.English 5.Kiswahili 6.History 7.Biology

Ila baraza la mitihani linaruhusu mwanafunzi wa form four kufanya mitihani kumi tu na sio zaidi
Kwahyo masomo ambayo unaweza ongeza ni kama ifuatavyo
1.Physics 2.Chemistry 3.Bookkeeping 4.Commerce 5 agriculture 6.French 7 Nutrition 8 additional mathematics!!

Yale saba ya lazima plus matatu katika machaguo ya pili au mawili Au moja kulingana na uwezo wa mwanafunzi na shule anayosoma

Kwa wale wanaosoma technical schools hua na masomo yao kadhaa siyafaham vizur
 
Hayo yote tulisoma O-level yeye hajui kuwa kwa kuwa nimesoma PCM sijui Geography.
kuna vitu vinaitwa general knowledge.

ukichunguza kwa haraka haraka unagundua wakenya ni empty hata kwa vitu ambavyo ni general tu. unaweza kuona kuliona hilo the way wanavyo argue.
 
Back
Top Bottom