Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

housemaid thread itafungwa 2025.kama umezidiwa ktk argument na watz unaweza kuwa msomaji tu. sio lazima uwe unaandika porojo zako hapa.

narudia tena thread itafungwa rasmi 2025.
utajibeba shenztype.
 
Nisaidieni hapa,central Africa region hakuna cities zenye mali hata $1bln mbona sizioni katika ramani Au study haikuzihusisha??
tapatalk_1539011056578.jpeg
 
Sasa mimi ndiyo mnanivuruga. Mada hii ijadiliwa kwa vigezo vya ukweli ama kwa hisia? Maana tukishafika upande mmoja unasema hupendi vya kwenu basi hapo hakuna ukweli tena ni unazi. Na hata yule anaeponda tu Dar au Nairobi kwa kisa tu yeye ni wa kule au huku, huo ni unazi na kwa staili hiyo hapatokuwa na muafaka. Kama ni kwa unazi tu na uzalendo basi tusiendelee na mjadala maana majibu yanajulikana, kwa watanzania Dar ni namba moja na kwa wakenya Nairobi ni namba moja. Tusipoteze muda!
comrade
raha ya mijadala kama hii ni kubaki "kukubaliana kutokukubaliana".

kwa mfano mimi nikisema ile ni rangi nyeupe, wewe unakuja na argument zako za kukataa na kusema hapana ile si rangi nyeupe ni rangi ya kijani.

huwa inasaidia sana katika critical thinking na kufanya ubongo wako kuwa sharp mda wote.

sisi na wakenya hatuwezi tu kukubaliana kirahisi ktk kila jambo, lazima tujadili kwanza.majadiliano ni sehemu ya kupeana changamoto. kuna sababu za kihistoria kati ya watz na wakenya kuwa hivi.

nikupe mfano, huko ughaibuni mpaka hii leo wazungu wanaendelea ku debate kuhusu tukio la kina neil amstrong kufika mwezini mwaka 1969.

wapo wanaokubali na wapo wanaokataa,
wanaokataa wana strong reasons za kuamini kwamba lile tukio likuwa staged.

ukitaka ushahidi nakuwekea.

 
nimefurahishwa na mjadala wa leo kati wakenya na watanzania ulioangazia masuala ya elimu.

baadhi yetu hatujazoea ku-argue kwa porojo, tunapenda facts.

nilichogundua kwa wakenya ni kwamba kila wanachofafanuliwa kuhusu elimu yetu ya O-level(form 1 up to form 4) na high level(form 5 up to form 6) huwa wanadai eti wamesoma tangu wakiwa sijui primary sijui wakiwa form 1 and blablabla.

sasa twende kwenye practical, tusipige porojo.vitendo vizungumze zaidi kuliko maneno.

naleta kwenu advanced mathematics national examination paper for form six student that was held in tanzania on may 2018.

nataka wale wakenya waliobobea katika mathematics wa solve maswali katika papers then watuonyeshe equations and solutions walizotumia kupata majibu.

uzuri jamiiforum imekusanya magwiji wa kila fani.magwiji watakuja kuthibitisha kama majibu ni sahihi au lah. porojo zikae kando kwa mda.

housemaid we don't need your excuses and blablabla here, solve these questions pls.
View attachment 891155View attachment 891156View attachment 891157View attachment 891159
copy to Kijibabu
kadoda umenifikisha kwenye somo langu asante sana hakuna nkenya atadanganya hapo niamini mimi nitamhoji kitaalamu mpaka atafaurah na roho yake😂😂😂😂😂
 
nimefurahishwa na mjadala wa leo kati wakenya na watanzania ulioangazia masuala ya elimu.

baadhi yetu hatujazoea ku-argue kwa porojo, tunapenda facts.

nilichogundua kwa wakenya ni kwamba kila wanachofafanuliwa kuhusu elimu yetu ya O-level(form 1 up to form 4) na high level(form 5 up to form 6) huwa wanadai eti wamesoma tangu wakiwa sijui primary sijui wakiwa form 1 and blablabla.

sasa twende kwenye practical, tusipige porojo.vitendo vizungumze zaidi kuliko maneno.

naleta kwenu advanced mathematics national examination paper for form six student that was held in tanzania on may 2018.

nataka wale wakenya waliobobea katika mathematics wa solve maswali katika papers then watuonyeshe equations and solutions walizotumia kupata majibu.

uzuri jamiiforum imekusanya magwiji wa kila fani.magwiji watakuja kuthibitisha kama majibu ni sahihi au lah. porojo zikae kando kwa mda.

housemaid we don't need your excuses and blablabla here, solve these questions pls.
View attachment 891155View attachment 891156View attachment 891157View attachment 891159
copy to Kijibabu
Badamu banataka kumwagika...!! Kibera dwellers njooni huku..
 
kadoda umenifikisha kwenye somo langu asante sana hakuna nkenya atadanganya hapo niamini mimi nitamhoji kitaalamu mpaka atafaurah na roho yake
hii post nilii-post jana mida ya jioni tulipokuwa tunajadili masuala ya elimu ya secondary kati ya kenya na tz.

mpaka mda huu hakuna mkenya hata mmoja aliye attempt kufanya swali hata moja.

post imesababisha hata wale wakenya wanao repost picha za CBD watoweke kwa mda.
 
Kama huu mtihani ndio wa highest level of secondary schools Kenya. Basi kenya elimu yenu kwenye mambo ya science ipo chini sana. Huu mtihani ni wa kidato cha tatu hapa TZ. Na swali la kwanza mtoto wa kidato cha kwanza analifumua lote.
Kuna akiimba tu Hallo Helena Lile Beberu Bora Chinja Na Ondoa Figo Nene. Nani Mzungu Aliye Simama Pale Serengeti Club Arudi Kwao Canada!?
Hahaaaaaa mkuu umenikumbusha mbali sana form 3 hiyo...
 
Nimeona nijiuzulu kirasmi maanake hatusaidiani kwa lolote lile. Pongezi kwa wakenya waliotoka kwa huu uzi wakati picha zao zilipokuwa zinaanikwa hadharani.
Sasa jukwaa limeachiwa character assassins.wazee wa kujadili kwa mihemko nawatakia kila la heri.
 
Nimeona nijiuzulu kirasmi maanake hatusaidiani kwa lolote lile. Pongezi kwa wakenya waliotoka kwa huu uzi wakati picha zao zilipokuwa zinaanikwa hadharani.
Sasa jukwaa limeachiwa character assassins.wazee wa kujadili kwa mihemko nawatakia kila la heri.
safari njema,nenda kampikie shemeji...!
we don't need you!
 
Nimeona nijiuzulu kirasmi maanake hatusaidiani kwa lolote lile. Pongezi kwa wakenya waliotoka kwa huu uzi wakati picha zao zilipokuwa zinaanikwa hadharani.
Sasa jukwaa limeachiwa character assassins.wazee wa kujadili kwa mihemko nawatakia kila la heri.
Bon voyage mammy
 
Nimeona nijiuzulu kirasmi maanake hatusaidiani kwa lolote lile. Pongezi kwa wakenya waliotoka kwa huu uzi wakati picha zao zilipokuwa zinaanikwa hadharani.
Sasa jukwaa limeachiwa character assassins.wazee wa kujadili kwa mihemko nawatakia kila la heri.
Baada ya kuletwa mtihani wa Maths naona mnaanza kukimbia mmoja mmoja. Najua mnakuja kwa IDs tofauti. Tumejua pahala pa kuwashika. 😀😀😀. Safari njema wasalimie kibera.
 
Ila kadoda ulichowafanyia hawa jamaa Mungu anakuona asee
mimi sijawafanya kitu chochote kaka, ni ujuaji wao ndio unawaponza.na siku zote kama umechunguza, mkenya huwa anaponzwa na tabia ya ujuaji.

imagine kuhusu elimu yetu, kila kitu walichokuwa wanaelezewa wanadai walishasoma wakiwa form two... mwingine anakwambia sijui topic fulani alishasoma akiwa primary.

nilipoleta national paper ya form six ya advanced mathematics baadhi yao wakaamua kupiga kimya.

halafu wala wasikuzuge na hiyo style yao ya kususa, hawajaanza leo. wanasusa but after some few ours wanarudi kuja kukomenti.na wengine huwa wanarudi kwa ID mpya. binafsi nimeshawazoea.

washatumia kila mbinu ili kumshawishi moderator ifungwe hii thread wameshindwa.
 
Back
Top Bottom