Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani hapo nimeeleza juujuu huo muorganic chemistry usikie tu kwa watu, kama kiorganic cha O level kilikua kinakutoa jasho basi bora tu uende zako diploma mapema kabla Ndalichako hajakula kichwa.

Ukitoka unakuta physics imekusimamia kucha, umepiga zako mechanics yote ila maswali hayaendi [emoji3] [emoji3]. Ila alieweka hii syllabus mungu anamuona aisee. Advanced level imepoteza matumaini ya watu wengi sana.

Mnapoanza PCB form dala Utasikia wana kibao wanajiita Dr fulani ila ngoma ikipamba moto utasikia Kwani shs ngapi hata nikipata hizo D mbili za kwenda chuo sio mbaya [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Alafu nyang'au analeta maneno ya kwenye khanga kua wao walishasoma sijui form one & two. Hajui ile ilikua ni introduction to...
 
Noma sana hiyo Hisabati. Mi sana sana najua tu kubonyeza kitufe cha camera tena sio sana . BTW did CBG lakini nilikimbizwa na Organic chemistry🤣, nikatorekea HGL piga one yangu ya point 6 nasurvive sasa hivi kama kawa .

IMG_4717.JPG




IMG_4718.JPG
 
nimefurahishwa na mjadala wa leo kati wakenya na watanzania ulioangazia masuala ya elimu.

baadhi yetu hatujazoea ku-argue kwa porojo, tunapenda facts.

nilichogundua kwa wakenya ni kwamba kila wanachofafanuliwa kuhusu elimu yetu ya O-level(form 1 up to form 4) na high level(form 5 up to form 6) huwa wanadai eti wamesoma tangu wakiwa sijui primary sijui wakiwa form 1 and blablabla.

sasa twende kwenye practical, tusipige porojo.vitendo vizungumze zaidi kuliko maneno.

naleta kwenu advanced mathematics national examination paper for form six student that was held in tanzania on may 2018.

nataka wale wakenya waliobobea katika mathematics wa solve maswali katika papers then watuonyeshe equations and solutions walizotumia kupata majibu.

uzuri jamiiforum imekusanya magwiji wa kila fani.magwiji watakuja kuthibitisha kama majibu ni sahihi au lah. porojo zikae kando kwa mda.

housemaid we don't need your excuses and blablabla here, solve these questions pls.
View attachment 891155View attachment 891156View attachment 891157View attachment 891159
copy to Kijibabu
Hahahaaaaaaaaaaa
Kaka unawaweza sana hawa nyang'au yaani unawagonga panapouma vilivyo.
Hawa jamaa viingereza viiingi basi mi hua nawachoraaa hawana lolote hawa. Utasikia mara ooh! Hiyo kwetu ni ya class four, wanadhani elimu ya bongo ni ya kitoto. Woote wamekimbia saa hizi, na tunataka wakirudi mjadala wa elimu uendelee kudaadek
 
Yaani hapo nimeeleza juujuu huo muorganic chemistry usikie tu kwa watu, kama kiorganic cha O level kilikua kinakutoa jasho basi bora tu uende zako diploma mapema kabla Ndalichako hajakula kichwa.

Ukitoka unakuta physics imekusimamia kucha, umepiga zako mechanics yote ila maswali hayaendi [emoji3] [emoji3]. Ila alieweka hii syllabus mungu anamuona aisee. Advanced level imepoteza matumaini ya watu wengi sana.

Mnapoanza PCB form dala Utasikia wana kibao wanajiita Dr fulani ila ngoma ikipamba moto utasikia Kwani shs ngapi hata nikipata hizo D mbili za kwenda chuo sio mbaya [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
mkuu nimesoma PCM kiukweli sitokuja kumshauli ndugu yangu wa karibu apitie hiyo level, katika maisha yangu sijawai kupitia kipindi kigumu kama iko cha miaka miwil yan mtu unasoma usiku na mchana ila unaishia kupata 30-40 za physics n math kuna kipindi kilifika adi nikawa najuta kusoma kiukweli advance ndio level ngumu katika ngazi ya elimu mtu unapewa kitabu kikubwa sana alafu unaambiwa hicho ni cha form five naapa mtu aliyepitia advance level ya tanzania naamini na akapata ufaulu mzuri basi anaweza kushindana na mwanafunzi wa shule yeyote africa
 
Alafu nyang'au analeta maneno ya kwenye khanga kua wao walishasoma sijui form one & two. Hajui ile ilikua ni introduction to...
Hawaujui mziki wake, yaani shule inaanza form V. Huko O level ni kupeana tu matumaini. Kuna jamaa mmoja tulianza wote 5 ila kufika mwezi wa 9 akaona ngoma ngumu na akifanya mchezo itakua 2 years fighting for food akatimkia zake diploma ya clinical medicine.
 
wakenya tunaomba muweke mtihani wa kidato cha nne ili tusonge
hahahaha.... wanarusha maneno tu hewani. wengi wao ni vilaza. elimu yao imejikikita katika kuwafanya wajue kuzungumza kingereza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mimi mwenyewe nakaa kando cos nipo allergic na numbers.... hapa namuachia Annael na magwiji wenzie wasimamie show.

nataka nione how intelligent this kenyans are in maths.
Hawa jamaa ukiwasikiliza kiingereza chao waweza dhania they're so bright minded kumbe just linguists only.
 
nimefurahishwa na mjadala wa leo kati wakenya na watanzania ulioangazia masuala ya elimu.

baadhi yetu hatujazoea ku-argue kwa porojo, tunapenda facts.

nilichogundua kwa wakenya ni kwamba kila wanachofafanuliwa kuhusu elimu yetu ya O-level(form 1 up to form 4) na high level(form 5 up to form 6) huwa wanadai eti wamesoma tangu wakiwa sijui primary sijui wakiwa form 1 and blablabla.

sasa twende kwenye practical, tusipige porojo.vitendo vizungumze zaidi kuliko maneno.

naleta kwenu advanced mathematics national examination paper for form six student that was held in tanzania on may 2018.

nataka wale wakenya waliobobea katika mathematics wa solve maswali katika papers then watuonyeshe equations and solutions walizotumia kupata majibu.

uzuri jamiiforum imekusanya magwiji wa kila fani.magwiji watakuja kuthibitisha kama majibu ni sahihi au lah. porojo zikae kando kwa mda.

housemaid we don't need your excuses and blablabla here, solve these questions pls.
View attachment 891155View attachment 891156View attachment 891157View attachment 891159
copy to Kijibabu
Nipo nasubiri. Mimi nimewahu kuwa teacher wa Mathematics A-level.
Wakenya leteni solutions zenu kwenye karatasi kisha pigeni picha.
Hata hivyo kuna watu kesho wataenda kutafuta msaada. Tutajua tu kama umepewa msaada. Maana tutakuuliza maswali ya ziada.
 
mkuu nimesoma PCM kiukweli sitokuja kumshauli ndugu yangu wa karibu apitie hiyo level, katika maisha yangu sijawai kupitia kipindi kigumu kama iko cha miaka miwil yan mtu unasoma usiku na mchana ila unaishia kupata 30-40 za physics n math kuna kipindi kilifika adi nikawa najuta kusoma kiukweli advance ndio level ngumu katika ngazi ya elimu mtu unapewa kitabu kikubwa sana alafu unaambiwa hicho ni cha form five naapa mtu aliyepitia advance level ya tanzania naamini na akapata ufaulu mzuri basi anaweza kushindana na mwanafunzi wa shule yeyote africa
Hahaaa mkuu ktk kipindi kigumu nilichowahi kupitia kwenye kisomo jamani ni advance aiseeee duuuuuh! Akyanani jamani yale ni matesoo hayo ma organic, hayo ma mechanism ya Bios mwee mweeee
 
Haaaahahaaa! Mimi elimu yangu ya hesabu ni form 4 ya tz. hata hivyo hii paper naiona ni simple kabisaaa.
unachekesha au kisa umeona set na statistic apo pamoja na function yani hizo ndo z kuponea na mpaka ukutane nazo zinaenda il ukikaa vibaya nazo zinakupiga bt angalia na topic nyingne kama zinaenda mana hesabu ukiangalia kwa macho tuu mbona unapata 100
 
nimefurahishwa na mjadala wa leo kati wakenya na watanzania ulioangazia masuala ya elimu.

baadhi yetu hatujazoea ku-argue kwa porojo, tunapenda facts.

nilichogundua kwa wakenya ni kwamba kila wanachofafanuliwa kuhusu elimu yetu ya O-level(form 1 up to form 4) na high level(form 5 up to form 6) huwa wanadai eti wamesoma tangu wakiwa sijui primary sijui wakiwa form 1 and blablabla.

sasa twende kwenye practical, tusipige porojo.vitendo vizungumze zaidi kuliko maneno.

naleta kwenu advanced mathematics national examination paper for form six student that was held in tanzania on may 2018.

nataka wale wakenya waliobobea katika mathematics wa solve maswali katika papers then watuonyeshe equations and solutions walizotumia kupata majibu.

uzuri jamiiforum imekusanya magwiji wa kila fani.magwiji watakuja kuthibitisha kama majibu ni sahihi au lah. porojo zikae kando kwa mda.

housemaid we don't need your excuses and blablabla here, solve these questions pls.
View attachment 891155View attachment 891156View attachment 891157View attachment 891159
copy to Kijibabu
Hii kwa Sisi wazee wa BAM ni changamoto. Inaitwa Advanced Mathematics na kama wewe ulifanya paper imeandikwa basic Mathematics basi Kaa pembeni
 
Hahahaaaaaaaaaaa
Kaka unawaweza sana hawa nyang'au yaani unawagonga panapouma vilivyo.
Hawa jamaa viingereza viiingi basi mi hua nawachoraaa hawana lolote hawa. Utasikia mara ooh! Hiyo kwetu ni ya class four, wanadhani elimu ya bongo ni ya kitoto. Woote wamekimbia saa hizi, na tunataka wakirudi mjadala wa elimu uendelee kudaadek
vilaza wakubwa hawa.... elimu ya sekondari ya tz sio masihara. ni jiwe kweli kweli.

nimekaa na popcorn zangu nasubiri kuona mkenya anatuma picha au screen image inayoonyesha namna alivyo solve maswali na mpaka akapata jibu.
 
mkuu nimesoma PCM kiukweli sitokuja kumshauli ndugu yangu wa karibu apitie hiyo level, katika maisha yangu sijawai kupitia kipindi kigumu kama iko cha miaka miwil yan mtu unasoma usiku na mchana ila unaishia kupata 30-40 za physics n math kuna kipindi kilifika adi nikawa najuta kusoma kiukweli advance ndio level ngumu katika ngazi ya elimu mtu unapewa kitabu kikubwa sana alafu unaambiwa hicho ni cha form five naapa mtu aliyepitia advance level ya tanzania naamini na akapata ufaulu mzuri basi anaweza kushindana na mwanafunzi wa shule yeyote africa
Tena ukose walimu na hukwenda tuition mbona utatoboka mpaka uumwe macho [emoji102] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Back
Top Bottom