Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Msijifwanye mmelalwa saa hii wakeinya mkujee harakaa.
Wekeni na nyie mtihani wenu wa form four unaowapeleka chuo kikuu please, msipoweka mtakua hamna maana.
 
Nipo nasubiri. Mimi nimewahu kuwa teacher wa Mathematics A-level.
Wakenya leteni solutions zenu kwenye karatasi kisha pigeni picha.
Hata hivyo kuna watu kesho wataenda kutafuta msaada. Tutajua tu kama umepewa msaada. Maana tutakuuliza maswali ya ziada.
hahahaha... hahahaha... hawachomoki round hii. shenztype wakubwa hawa.

eti utawauliza mswali ya nini...?
 
Naomba mnifafanulie cosh ndiyo nini hasa?2@
Mimi naifahamu cos .cosh sijui ni nini.
Halafu those attachments are tootiny for normal eyes 👀 to see.
Siko vizuri kwa hisabati ila naweza jaribu
Kama hujui math basi andika hii namba kwa maneno ya kiswahili 10,005.
 
Naomba mnifafanulie cosh ndiyo nini hasa?2@
Mimi naifahamu cos .cosh sijui ni nini.
Halafu those attachments are tootiny for normal eyes to see.
Siko vizuri kwa hisabati ila naweza jaribu
Kama unaisifia elimu yenu ipo juu halafu umesoma mchepuo wa sayansi na hujui cosh ni nini basi wewe ni kilaza tuu.
Hebu tuwekee mtihani wenu wa kuhitimu form four ila usiwa wa somo la Kiingereza.
 
Kama unaisifia elimu yenu ipo juu halafu umesoma mchepuo wa sayansi na hujui cosh ni nini basi wewe ni kilaza tuu.
Hebu tuwekee mtihani wenu wa kuhitimu form four ila usiwa wa somo la Kiingereza.
hahahaha... mtafanya huyo housemaid asajiri account nyingine. maana ile ya kwanza kaisusa....
 
hii battle imefika patamu sana...ni fire.

kila mtu saa hii yupo busy na simu yake kurefresh hii thread ili aone angalau mkenya mmoja akijitosa kusolve maswali ya advanced mathematics ya wanafunzi wa form six nchini tanzania.

mambo ni
bado narefresh screen yangu apa ila bado sioni kitu au leo kule kwao majira yamebadilika inawezekan mda huu n usiku wa manane
 
hii battle imefika patamu sana...ni fire.

kila mtu saa hii yupo busy na simu yake kurefresh hii thread ili aone angalau mkenya mmoja akijitosa kusolve maswali ya advanced mathematics ya wanafunzi wa form six nchini tanzania.

mambo ni
Wameenda kutafuta misaada hao maboya!
 
Hii kwa Sisi wazee wa BAM ni changamoto. Inaitwa Advanced Mathematics na kama wewe ulifanya paper imeandikwa basic Mathematics basi Kaa pembeni
Haaaaaa. vp kuhusu Pure Mathematics, Additional Mathematics na Applied Mathematics? (tofautisha na Basic Applied Mathematics). Au kwako ni misamiati tu?
 
Naomba mnifafanulie cosh ndiyo nini hasa?2@
Mimi naifahamu cos .cosh sijui ni nini.
Halafu those attachments are tootiny for normal eyes to see.
Siko vizuri kwa hisabati ila naweza jaribu
hiyo kufafanuliwa adi tuderive ndo uwelewe ila kwa maelezo hutoelew imekuaje kuaje
 
Wameenda kutafuta misaada hao maboya!
waende tu wakatafute backup, hatujawazuia. ila numbers don't lie.huwezi kuleta ujuaji kwenye numbers.

sisi tunachotaka watuonyeshe solution walizotumia kupata majibu.

pia watuletee national exams za somo la hesabu kwa elimu ya kenya. mitahani yao ya mwisho ya form four kwa somo la hesabu.
 
waende tu wakatafute backup, hatujawazuia. ila numbers don't lie.huwezi kuleta ujuaji kwenye numbers.

sisi tunachotaka watuonyeshe solution walizotumia kupata majibu.

pia watuletee national exams za somo la hesabu kwa elimu ya kenya. mitahani yao ya mwisho ya form four kwa somo la hesabu.
battle imeenda next level.... hatutaki ujinga.
 
kenyans while you're busy looking for a help from your friends who can help you to solve advanced mathematics questions for form six students in tanzania, i present to you antony mulokozi who emerged the best student in 2018 form six national examination. he took PCB combination that's physics,chemistry and biology.

huyu akija kenya anaweza kabidhiwa session atoe mathematical lecture kwa wanafunzi wa second year nairobi university.
IMG_20181008_233927.jpeg
IMG_20181008_234001.jpeg
IMG_20181008_234020.jpeg
 
Back
Top Bottom