

Jogoo la kijijini haliwiki mjini








Wanaija na wabongo hawawezi anzisha battle yoyote coz ya language barrier. Kuna wasee fulan wa kibongo walikuwa wanajipendekeza kwa wanaija iyo tym kwa kutoa post za kuidhalilisha Kenya. Nobody even recognised their presence there. Hapa ndiyo naona wanatawala. Wakija fb au twitter wanaweza kipata wallahi
Acha waendelee kuwika hapa.Jogoo la kijijini haliwiki mjini
![]()


wimbo mzuri kwa wale wahenga,pia wakongo wameimba dar yachemka kama bahari,asante wakongo.



aty BBA! Hahaa.. if you guys have the guts fikeni Twitter where the world is tuone kama mtapata courage ya kuongea










We've beaten naija in BBA and music more than once. Mind you hiyo BBA ni kiingereza tupu. They are just many ila hawatuwezi man to man
Tell them .Wakongo hukimbilia Kenya kama ng'ambo na wanamziki wao mashuhuri wamekuza talanta zao hapa kenya not Dar![]()





ati 30kTsh! Kwani wanafanyia barabara kazi
Hizo jobs wanaoringa nazo ni za kiLDC. Imagine kuna wasee wanalipwa 30KTshs per month
Tell them .
The late chibalonza
Alicios
Rigarn sarkozi among others
Imekuchomakwa hiyo balozi wa Marekani Tanzania anapata kibali kutoka Kenya??
![]()


sasa nini inaniuma when we all know Hq iko Kenyatheres a difference between employment and meaningful employment....................kenyan doctors and teachers earn twice as much as their east african counterparts............useless employment is rife in ldc list of shame of the world........the poorest of the world's nationsWafanyikazi wa ndani na shamba boys wanalipwa hivyo.mamode wa primo ni kitu 100ktshs.wa secoo nitachunguza



Kuna huyu mwenzako kaomba msaada kutoka Japan.



Then they expect to compete with our economy! Yani Tz muhindi akikuandika mtu anajiona amefika yet he/she is Poor
What you don't know about Kenya is that majority are self employed and all these are not included in the list of employed people. We rarely depend on government jobs.