Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanaija na wabongo hawawezi anzisha battle yoyote coz ya language barrier. Kuna wasee fulan wa kibongo walikuwa wanajipendekeza kwa wanaija iyo tym kwa kutoa post za kuidhalilisha Kenya. Nobody even recognised their presence there. Hapa ndiyo naona wanatawala. Wakija fb au twitter wanaweza kipata wallahi
Tweeter mnatukanwa na Nigeria kama watoto😂😂😂 TZ mtatuweza
 
Oooooh this is you? You are handsome anyways. NB.am not kidding
Na mwingine huyu hapa nimemdaka😂😂😂😂 Hivi kwa nini hamna lose??
IMG_20181005_143634.jpg
 
Kumbe uchokozi tu
mpo desperate sana...vitu vidogo mnavichukulia serious...i have come to realize it so easy to provoke a kenyan.

kwa mfano hii picha hapa chini, nikisema huyu ni wewe komora, wenzako wote wataamini, hawatachukua mda kutafakari wala kuchunguza... watatoa povu siku nzima.
Screenshot_2018-10-05-15-34-45-725_com.instagram.android.jpeg
 
Back
Top Bottom