Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwaswast
IMG_20181005_120321.jpg
 
Just go straight to the point & say "Wasikuje na kizungu Mingi" najua hio ndio mnaogopa plus naona itakuwa kibarua ku waleta JF yani wakenya huwa wamewadharau style ingine!
we need many kenyans here, so you don't need to ask.

but you should warn them first that jf moderators don't entertain childish discussion,use of offensive language, insults etc,their accounts will be removed.

waje hapa wakiwa na facts sio emotions za kikenya... watakwama.
 
Just go straight to the point & say "Wasikuje na kizungu Mingi" najua hio ndio mnaogopa plus naona itakuwa kibarua ku waleta JF yani wakenya huwa wamewadharau style ingine!
Nakumbuka ile battle ya naija na Kenya. Kuna watu walikuwa wanasema tz next. Watu wakapinga .
They said it is wastage of time .
 
Just go straight to the point & say "Wasikuje na kizungu Mingi" najua hio ndio mnaogopa plus naona itakuwa kibarua ku waleta JF yani wakenya huwa wamewadharau style ingine!
kizungu mingi na wengi wenyu ni majobless... ajira karibia yote ya madaraka express amekalia mchina...
 
na Vile wanija hawapendi mazuzu kama hawa
Wanaija na wabongo hawawezi anzisha battle yoyote coz ya language barrier. Kuna wasee fulan wa kibongo walikuwa wanajipendekeza kwa wanaija iyo tym kwa kutoa post za kuidhalilisha Kenya. Nobody even recognised their presence there. Hapa ndiyo naona wanatawala. Wakija fb au twitter wanaweza kipata wallahi
 
Wanaija na wabongo hawawezi anzisha battle yoyote coz ya language barrier. Kuna wasee fulan wa kibongo walikuwa wanajipendekeza kwa wanaija iyo tym kwa kutoa post za kuidhalilisha Kenya. Nobody even recognised their presence there. Hapa ndiyo naona wanatawala. Wakija fb au twitter wanaweza kipata wallahi
We've beaten naija in BBA and music more than once. Mind you hiyo BBA ni kiingereza tupu. They are just many ila hawatuwezi man to man
 
Back
Top Bottom