Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_4612.JPG



IMG_4613.JPG
 
Kwhvo tuusan..hta mama mboga huaga hawako kwenye list ya unemployment..hebu nieleweshe kidogo mkuu
Ukisoma ukapata elimu flan unategemea kuajiriwa ili ulipwe ujira wako,ukikosa kazi hapo unakua workless ,sasa ajira rasmi ni zile zinazolipa kodi kwa serikali mfano,ukiajiriwa na sekta Za umma, ajira katika sekta binafsi

Ukiweza fungua ofisi yako na unalipa kodi iyo tayar ni ajira binafsi
Mama mboga, bodaboda, wapika chispi hizi sio ajira rasmi,hawalipi kodi,hawana health insurance,(hizi tunaita ajira zisizorasmi ni halali lakini haziko katika mfumo rasmi kiserikali )

Jobless huna chochote unachofanya/not productive unalialia tu serikali imekutenga ooh sijui JPM /Uhuru mmbaya sana nk
 
We umeweza jadili nn ukaeleweka maana naona umekua imekua moto sana
huyo housemaid hajawahi present jambo lolote la maana hapa jf tangu ajiunge...ni mtu wa kulalamika tu siku zote.

hajawahi kuzitendea haki ID zake zote mbili hii anayotumia leo na ile nyingine aliyoisusa.

ni takataka fulani kupuuza tu.
 
huyo housemaid hajawahi present jambo lolote la maana hapa jf tangu ajiunge...ni mtu wa kulalamika tu siku zote.

hajawahi kuzitendea haki ID zake zote mbili hii anayotumia leo na ile nyingine aliyoisusa.

ni takataka fulani kupuuza tu.
Haha tumpe muda tuone yaliyomo
 
Ukisoma ukapata elimu flan unategemea kuajiriwa ili ulipwe ujira wako,ukikosa kazi hapo unakua workless ,sasa ajira rasmi ni zile zinazolipa kodi kwa serikali mfano,ukiajiriwa na sekta Za umma, ajira katika sekta binafsi

Ukiweza fungua ofisi yako na unalipa kodi iyo tayar ni ajira binafsi
Mama mboga, bodaboda, wapika chispi hizi sio ajira rasmi,hawalipi kodi,hawana health insurance,(hizi tunaita ajira zisizorasmi ni halali lakini haziko katika mfumo rasmi kiserikali )

Jobless huna chochote unachofanya/not productive unalialia tu serikali imekutenga ooh sijui JPM /Uhuru mmbaya sana nk
Heheee!!!eti unalialia serikali..hyo kali aisee..
 
Back
Top Bottom