kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
inaonekana familia yako ni watu wakarimu na wachamungu. ningekuwa bado sijaoa ningechangamkia fursa ya kutuma maombi ya kuoa katika ukoo wenu ili tutengeneze mahusiano mema ya ujirani.yaaani ningefanya kama alivyofanya ali kiba.Uwanja ni wako sasa...chagua nikupe no.za mzee mzima ufanye nae mawasilianoView attachment 884675View attachment 884676
NB:
mimi ni mkatoliki, dini yangu hairuhusu kuoa mke zaidi ya mmoja.


