komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Sasawa...ila mi sina mwili vile..naumbwa mwembamba...ila nitapunguza kw sasahivi ukipata hizo stimu siunakuwa kituko hapo Mombasa. ?? Nunua unga ws lishe na maziwa iwe ndo breakfast yako. You will regain your wait. Hata sisi tunakunywa but we are healthy.
