Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hivi ukipata hizo stimu siunakuwa kituko hapo Mombasa. ?? Nunua unga ws lishe na maziwa iwe ndo breakfast yako. You will regain your wait. Hata sisi tunakunywa but we are healthy.
Sasawa...ila mi sina mwili vile..naumbwa mwembamba...ila nitapunguza kw sasa
 
Mulisaa hta km ni kunivamia si hvo bana...si pumui...si wote binadamu bana...smetimes jokes kando...ila mi najikubali..kw sasa siez jisifia km eti nina nyumba ndio nifurahishe...wewe km Mungu kakupa nyumba gari na familia...rudishana shukrani...mi ndo sai najitafutia..na naimani nitafika hko...
😂😂😂next time kuwa na adabu unapokuwa humu ndani. 😂😂😂
 
Dar baba yao
DoCV6ewWkAE0bvj.jpg
DRaOWo3X4AEOTvh.jpg
DXl7BYKXcAAI86w.jpg
 

Attachments

  • Dn3y8f0XcAAAzA7.jpg
    Dn3y8f0XcAAAzA7.jpg
    105.1 KB · Views: 15
kuna moja katupia suit ya mchina inabonge la label mkononi! uzuri naona siyo mbishi sana kama kina mwasiti.
Komora uwe unaondoa yale malebo, suit za ukweli hazinaga yale mambo. Otherwise you seem like a good guy, utatoboa tu.
Hzo huaga navaa nikiwa katika mishe zangu...ila sipendi suit km nini nakwambia...ila sina budi..
 
ukifika nitafute.
Huo mda kisha sikuwa nyumbani...nlikuwa tu kw masela kitaa cha pili tulikuwa twapiga vitu vyetu...karibu na tononoka ground,opposite childrens court karibu na chiefs office...ni watu wa dili zao za kubangaiza
 
Hzo huaga navaa nikiwa katika mishe zangu...ila sipendi suit km nini nakwambia...ila sina budi..
Okay.. chukua ushauri nilio kupa, ondoa hayo ma label. Wewe kweli umekulia pwani ni muungwana tofauti na mijamaa ya Nai inakufa na tie shingoni. Keep it up
 
Back
Top Bottom