Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

30893122988_f494b9f3f5_o.jpg


30893123628_0cd5033045_o.jpg


44045084954_3c729ceb5a_o.jpg


44714393412_fa9b143246_o.jpg

DOnFvflX0AA12Y5.jpg


44711704712_c59490a777_o.jpg


30893122058_1815ca66ef_o.jpg


44045082144_57b4eee716_o.jpg


44711694582_7dbb88a8fc_o.jpg

31954730625_08f387393f_h.jpg


34518470_173803209960637_8936240480841105408_n.jpg


34704128_246463126112593_6814842625951006720_n.jpg
dwarf buildings in Nairobi😂😂😂
 
Mzee ungepiga kimya! Unajiabisha, wazungu wana shindana sana, infact ushindani ndiyo umewafikisha hapo. Ungekaa na Wajerumani na waingereza unge ona Dar vs Nai hapa hamna battle ni masikhara tu. Kama ulivyo shauriwa na Kadoda rudi unapo fit hapa unajichoresha tu.
jinga sana lile jamaa. yaani anathubutu kuja kwenye jukwaa la watu makini kama hili kudanganya eti watu wa mataifa ya kimagharibi huwa hawashindani.eti waingereza na wajerumani huwa hawashindani.real?.

hafahamu kwamba watu wa mataifa makubwa walishaacha kubishana kuhusu makazi bora, walishaacha kubishana kuhusu flyovers, walishaacha kubishana kuhusu appartments, walishaacha kubishana kuhusu highways.hivyo vitu vyote walisha vi-achieve miaka mingi iliyopita.

kwa sasa mashindano yao yapo katika uvumbuzi wa zana za kiteknolojia. taifa lenye teknolojia kubwa ambayo mataifa mengine makubwa hayana ndio linaibuka kinara.

kule youtube ukipitia comment section utabaini kwamba waingereza, wamarekani, warusi, wajerumani, wachina and the likes, mijadala yao imejikikita katika ubishani wa nani anaongoza kumiliki teknolojia ya zana za kivita, mawasiliano ya kidijitali na teknolojia inayohusu masuala ya cyber warfare.

sisi ndio kwanza tunajikongoja hivyo basi ni halali yetu kubishania vitu vilivyo ndani ya uwezo wetu kama flyovers, highways, appartments, slums etc.

hakuna ubaya katika hilo almradi hatuvunji sheria za jf na kanuni za TCRA.
 
hapo ndipo location yako imenipeleka hiyo ndosehemu ulipo. Your parents are civil servants??
Hayo magofu na ya tangu 1970s ndio unayatuma humu ndani...tononoka si tandale...
Tena huo ni mtaa wa kawaida...

Ni vile tu barabara zingine zimechapa..hay wewe komaa na mgofu ya 1970s...mwanzo hta k/koo kuna mahali kuna magofu tangu wakoloni...
20181002_140739.jpg
20181002_132922.jpg
20181002_132641.jpg
20181002_132847.jpg
20181002_133145.jpg
20181002_133057.jpg
20181002_133027.jpg
20181002_133004.jpg
 

Attachments

  • 20181002_133130.jpg
    20181002_133130.jpg
    54.5 KB · Views: 17
  • 20181002_133004~2.jpg
    20181002_133004~2.jpg
    53.6 KB · Views: 17
Dar is slum hakuna majengo bana .......ni machache sana ili yafike kiwango cha kuporomoka
Ulishssikia jengo hata moja lililoporomoka New York, Tokyo, London, Paris, Cape town au nchi yoyote iliyoendelea?. Corruption kills.
 
Hayo magofu na ya tangu 1970s ndio unayatuma humu ndani...tononoka si tandale...
Tena huo ni mtaa wa kawaida...

Ni vile tu barabara zingine zimechapa..hay wewe komaa na mgofu ya 1970s...mwanzo hta k/koo kuna mahali kuna magofu tangu wakoloni...View attachment 884460View attachment 884461View attachment 884462View attachment 884465View attachment 884467View attachment 884469View attachment 884472View attachment 884473
flat yako imekuuma sana hadi umeingia street kupiga nyumba wazoishi wahindi😂😂😂😂
 
jinga sana lile jamaa. yaani anathubutu kuja kwenye jukwaa la watu makini kama hili kudanganya eti watu wa mataifa ya kimagharibi huwa hawashindani.eti waingereza na wajerumani huwa hawashindani.real?.

hafahamu kwamba watu wa mataifa makubwa walishaacha kubishana kuhusu makazi bora, walishaacha kubishana kuhusu flyovers, walishaacha kubishana kuhusu appartments, walishaacha kubishana kuhusu highways.hivyo vitu vyote walisha vi-achieve miaka mingi iliyopita.

kwa sasa mashindano yao yapo katika uvumbuzi wa zana za kiteknolojia. taifa lenye teknolojia kubwa ambayo mataifa mengine makubwa hayana ndio linaibuka kinara.

kule youtube ukipitia comment section utabaini kwamba waingereza, wamarekani, warusi, wajerumani, wachina and the likes, mijadala yao imejikikita katika ubishani wa nani anaongoza kumiliki teknolojia ya zana za kivita, mawasiliano ya kidijitali na teknolojia inayohusu masuala ya cyber warfare.

sisi ndio kwanza tunajikongoja hivyo basi ni halali yetu kubishania vitu vilivyo ndani ya uwezo wetu kama flyovers, highways, appartments, slums etc.

hakuna ubaya katika hilo almradi hatuvunji sheria za jf na kanuni za TCRA.
Achilia mbali teknolojia wazungu wana ubishi mpaka wa barabara na viwanja! Yani kama sisi tu. Ila sisi tumeshuka kidogo kutokana na hali zetu.
Tumsamehe, Alikosea njia. Huwaga wanajirekebisha kwa kutokomea.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom