Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwenzako amesha kili kuwa anaishi kwenye chumba cha passport size cause he is single Na wewe upo Mombasa
Wewe unajuwa maana ya 1 bedroom..kijana wa dar mwanzo hana uwezo wa kulipia 1bedroom kw mwezi..
11,000 ksh wataeza kwel..
 
Mwenzako amesha kili kuwa anaishi kwenye chumba cha passport size cause he is single😂😂😂 Na wewe upo Mombasa😂😂😂😂
Anaishi kwa one Bedroom rent ni about KES 15000-20000 wewe hautawezana na hiyo maisha kaka
 
yes leta za mzazi wako. Wewe level yako ya chini. Thus why hata kwenye hii battle umeshindwa kujenga hoja.😂😂😂
Machungu yako personal usituletee kama unaishi kwa manyumba mabovu ya pitlatrines hapo Dar usituletee ufala
 
Old CBD
1538472927547.png
 
Wewe unajuwa maana ya 1 bedroom..kijana wa dar mwanzo hana uwezo wa kulipia 1bedroom kw mwezi..
11,000 ksh wataeza kwel..
kwa hizi tononoko flats unazoishi??😂😂😂 You pay that😂😂😂 Ufisadi Kenya unaanzia mbali😂😂😂
1313662.jpg
 
Putting some of these Jobless Tanzanians, who start stupid threads on the Kenyan news section, in their place is too tempting, guys,I know, but entertaining these fools is doing exactly what they want you to do. Wasee, si tuwalenge tu juu hata hawatujengi hizi nugu.
 
Sasa wewe ndiyo unaleta mambo ya kike ya kusutana hapa. Hamna mtu aliyekupangia ila bishana mambo yenye kuleta utatuzi wa umasikini, siyo kila kukicha mara TZ hivi au kenya vile.
Nchi zote hizo mbili ni shida tu, none of them is better than the other.

Mnakaa hapa kubwabwaja tu! Huwezi kuta wazungu wanabishana eti ujerumani better kuliko Uingereza. Yaani upuuzi kabisa, badala kuchallenge serikali zetu kutatua matatizo ya umasikini mnashinda kupondana nchi kwa nchi. Do you think it's worth it what you are doing?

Jamii forum haijakwambia kubishana upuuzi.
Mzee ungepiga kimya! Unajiabisha, wazungu wana shindana sana, infact ushindani ndiyo umewafikisha hapo. Ungekaa na Wajerumani na waingereza unge ona Dar vs Nai hapa hamna battle ni masikhara tu. Kama ulivyo shauriwa na Kadoda rudi unapo fit hapa unajichoresha tu.
 
Mazeee...ona huyu msee..analeta nyumba za civil servants za buxton...wooiiii...
Naona imekuuma kuhusu mm kuishi kw one bedroom
hapo ndipo location yako imenipeleka😂😂😂 hiyo ndosehemu ulipo. Your parents are civil servants??😂😂😂
 
Back
Top Bottom