Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unachanganyaga iyo na kiswahili inakubaliwa kwani...wewe mswahili pimbi...
Naona unataka kujaza vitu hivi:-
11___d05ysvtpmcrd47dnn7dk.jpg
 
Dar inazidi kuwa sehemu nzuri ya kuishi. Kituo cha Afya cha chanika

 
Hii ndio underpass hautawai iona maisha yako yote unless ukam nai
4bdab1312cf72e65ff65f52656ea60e8.jpg
8145432d86e4f5ffc389be2addf0f067.jpg
50a34f852900cd7dc390c0ca569fda52.jpg
41256ce60334ab75eac6505ff4c8bd0c.jpg
Kwikwikwi hiyo underpass au handaki. Ndiyo unajisifia hicho. Nimekuuliza nyie mpo na Daraja tamu kama la Nyerere Bridge Kigamboni!!?
Kwikwikwikwi. Nyie mnasehemu za Starehe kama Dar.
Nyie mnaweza ku part kama tunavyofanya Dar!!?
Check hii video kisha urudi shimoni kama panya
 
While your government is using tax payers money on towers...super towers in Nairobi,Mombasa and Eldoret are privately owned.
Our government is concentrating in infrastructure instead... this is outering super highway 80% done....
495d969ca0580e645d5a0ff80d94e45e.jpg
5f21c55121b0161e227140c9c098ae8c.jpg
b354975796f26bc836a04241cf8a3954.jpg
eceb1ddf45e07f16d44b35af21880e32.jpg
 
Kwikwikwi hiyo underpass au handaki. Ndiyo unajisifia hicho. Nimekuuliza nyie mpo na Daraja tamu kama la Nyerere Bridge Kigamboni!!?
Kwikwikwikwi. Nyie mnasehemu za Starehe kama Dar.
Nyie mnaweza ku part kama tunavyofanya Dar!!?
Check hii video kisha urudi shimoni kama panya

izo mambo zetu mkuu wao wanadandia tu....aisee sikosagi nyama choma ila mwaka jana ndyo nimemiss ni balaa watoto wazuri wote pale kati hawakosi...ni balaa tatizo huyu anayetuonyesha mabarabara ni kijana mzee....mi namshauri ushauri mzuri tu awe mchungaji huku hapawezi
 
Kwikwikwi hiyo underpass au handaki. Ndiyo unajisifia hicho. Nimekuuliza nyie mpo na Daraja tamu kama la Nyerere Bridge Kigamboni!!?
Kwikwikwikwi. Nyie mnasehemu za Starehe kama Dar.
Nyie mnaweza ku part kama tunavyofanya Dar!!?
Check hii video kisha urudi shimoni kama panya

Falai bridge ziko Mombasa na kwale...unaona ukianza kulemewa unaleta ujinga nikikuambia sai mko na national park utasema nini
 
Falai bridge ziko Mombasa na kwale...unaona ukianza kulemewa unaleta ujinga nikikuambia sai mko na national park utasema nini
Sema na sisi tutasema vitu kibao. Utasema National park sisi tupo na Game reserve na Zoo kibao.
Hapa nakuambia dogo utasanda. Wewe bado ni mshamba sana
z1.jpg



upload_2017-4-14_11-28-15.png
 
Falai bridge ziko Mombasa na kwale...unaona ukianza kulemewa unaleta ujinga nikikuambia sai mko na national park utasema nini
Hatutaki matusi ukizidiwa unapiga kimya we vp fly over ndio zakizamani subiri za bongo zikikamilika mwakani alafu utaona za kisasa tena zote tatu kwa wakati
 
Back
Top Bottom